Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRAZZ YA JOGOO ALIEAMUA KUZICHAPA NA KIOO

SI JAMBO LA KAWAIDA KUONA JOGOO AKIPIGANA NA KIVULI CHAKE,LAKINI JANA JOGOO MMOJA ALIZIPIGA KWELI KWELI NA JOGOO MWENZAKE ALIYEMUONA KWENYE KIOO KATIKA JENGO LA VING'AMUZI LA ZGC ZANZIGA RAHALEO,JOGOO HUYO ALIZUA KIOJA PALE ALIPOONDOSHWA NA NA KUONA HAIWEZEKANI KWAMBA KWANINI ANAONDOLEWA WAKATI HATA HAJAMTOA DAMU JOGOO HUYO,HAPO NDIPO ALIPOAMUA KURUDI TENA KWENYE MAPAMBANO HAYO YA MWENYEWE KWA MWENYEWE.....Hapa Jogoo huyo alikuwa akikatiza katika eneo hilo na kumuona Jogoo mwengine kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TASWIRAZZ KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Pangani, Saleh Pamba bungeni mjini Dodoma Aprili 1,2015.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Naibu Waziri Wizara Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe.Pindi Chana akijibu swali la msingi la Mhe.Kidawa Salehe (Mb) Viti Maalum CCM lililohoji juu ya Serikali imefanya utafiti gani juu ya sababu za ukatili kwa watoto,bungeni Mjini Dodoma 1 Aprili,2015.Mbunge wa Kisarawe (CCM) Mhe.Seleman Jafo akiwasilisha hoja binafsi kuomba tarehe ya kura ya...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRAZZ MBALIMBALI ZA MTANANGE WA MAVETERAN WA SOKA WA BARCELONA NA TANZANIA ULIOPIGWA UWANJA WA TAIFA

Wachezaji wa zamani wa timu ya Barcelona ya Hispania wakiongozwa na Patrick Kluivert (aliebeba mtoto) wakiingia uwanjani tayari kwa kukipiga na timu ya Tanzania Veterans katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. hadi mwisho wa mchezo, Barcelona ya Hispania ilishinda bao 2-1.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZIMchezaji wa zamani wa timu ya Barcelona ya Hispania, Patrick Kluivert akifurahia jambo na Mtoto mwenye Ualbino kabla ya kuanza kwa mchezo wao wa kirafiki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wanahitaji kioo

MATUMAINI yangu ni kuwa wote ni wazima na wenye afya njema. Napenda kuwashukuru wote mnaoendelea kunitia moyo kwa kunitumia ujumbe mfupi wa maneno pamoja na wale wanaonipigia simu kutokana na...

 

9 years ago

Raia Mwema

Samatta kioo kisichotumiwa na wachezaji wa Bongo

NYUMA ya mafanikio ya Augustine Jay Jay ‘Okocha,’ kuna jina la Binebi Numa, ambalo halijulikani n

Abdul Mkeyenge

 

10 years ago

Mwananchi

Kioo cha jamii ni sanaa au msanii?

Kuna kipindi nilikuwa mbishi nikitaka kubadilisha nilichokikuta katika dunia, niliamini kabisa walichosema babu zangu ndiyo sahihi, bila kuupa ubongo wangu nafasi ya kufikiri. Leo nakiri kwamba kipind fulani nilikuwa mjinga.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Shein kioo kipya kwa uadilifu Z’bar

Watu wengi hawakuamini  kama Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, angehimili mikikimikiki na dhoruba  ya kuoengoza  Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) hatimaye  ifikishe miaka mitano madarakani na kuifikisha ngwe ya  uchaguzi wa mwaka 2015 bila Serikali hiyo kuyumba  au kugawanyika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la Pasaka liwe kioo kwa chipukizi

WAIMBAJI mbalimbali wa kimataifa wa muziki wa injili kutoka Afrika Kusini, Zambia, Kenya, DR Congo na Rwanda, mwezi ujao watakuja nchini. Ujio wao ni kupamba Tamasha la Pasaka ambalo limekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mandela ni kioo cha viongozi wote duniani

MARAIS na viongozi wote duniani, ni muhimu wakajipima na kujitazama mwenendo na sura ya utawala walionao kwa kujiangalia kwa kupitia baba wa taifa la Afrika Kusini na nembo ya Afrika,...

 

10 years ago

Raia Mwema

Nchi inapojiangalia kwenye 'Kioo Cha CCM'

MAJUZI pale Viwanja vya Furahia Mwanza, tulionyeshwa kupitia runinga, CCM ikiongozwa na Katibu wa

Maggid Mjengwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani