Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tata Safari ya Sh70 mil la Chomoka na Mwananchi Des 13

Zimebaki siku chache kabla ya gari jipya aina ya Tata Safari lenye thamani ya Sh70 milioni kupata mshindi katika Promosheni ya Chomoka na Mwananchi ambayo inatarajiwa kufikia kilele Desemba 13,mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tata Safari ya Chomoka yaenda Morogoro

Kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), imemkabidhi zawadi ya gari jipya la kisasa aina ya Tata Safari, Joseph Msofe lenye thamani ya Sh70 milioni.

 

11 years ago

TheCitizen

Carpenter drives away in Sh70m ‘Chomoka’ car

The grand prize in the Chomoka na Mwananchi promotion was yesterday presented to its winner.

 

10 years ago

Mwananchi

Sh70 bilioni kupambana na umaskini

 Serikali imetenga Sh70 bilioni katika mwaka wa fedha 2014/15 ili kutekeleza awamu ya tatu ya mpango wa kunusuru kaya maskini nchini ambazo zinaishi chini ya mlo mmoja kwa siku.

 

11 years ago

Mwananchi

Seremala ashinda gari la Sh70 milioni

Fundi seremala mkazi wa Manispaa ya Morogoro, Joseph Msoffe ameibuka mshindi wa gari jipya aina ya Tata Safari lenye thamani ya Sh70 milioni kwenye droo ya mwisho ya promosheni ya Chomoka na Mwananchi iliyochezeshwa Makao Makuu ya Ofisi za Mwananchi, Tabata Relini jijini Dar es Salaam, jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Majambazi yapora Sh70 milioni Dar

Watu wanne wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha wamevamia gari ndogo aina ya Toyota Saloon na kupora fedha zinazokadiriwa kufikia Sh70 milioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Akiri kukutwa na noti bandia Sh70,000

Mkazi wa Rumala wilayani Ilemela, Erick Godwin (21) amekiri kukutwa na fedha bandia ambazo kama zingekuwa halisi zingekuwa na thamani ya Sh70,000, lakini akadai hakuwa anafahamu lolote.

 

9 years ago

Mtanzania

Mkutano Mkuu TFF Des 19

21NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

MKUTANO Mkuu wa kawaida wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), unatarajiwa kufanyika Desemba 19 na 20, mwaka huu.

Kikao cha Kamati ya utendaji cha Shirikisho hilo, kilichokutana Septemba 6 mwaka huu kimepanga kufanyika kwa mkutano huo huku ajenda zake zitatangazwa baadaye.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, alisema ajenda hizo zitatolewa kwa mujibu wa Katiba ya TFF.

“Tunawataarifu wajumbe wa mkutano mkuu tarehe ya...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yafafanua mapumziko Des 9

SERIKALI imesema Sikukuu ya Uhuru ambayo huadhimishwa Desemba 9, kwa mwaka huu wafanyakazi wa umma hawatakwenda kazini, bali watabaki majumbani mwao kwa kushiriki kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali kama alivyoagiza Rais John Magufuli.

 

10 years ago

Habarileo

Uchaguzi serikali za mitaa Des 14

Waziri Mkuu, Mizengo PindaKIPENGA cha kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, kinatarajiwa kupulizwa Novemba 30 mwaka huu na uchaguzi kufanyika Desemba 14 chini ya sheria zilizopo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani