Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tata Safari ya Chomoka yaenda Morogoro

Kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), imemkabidhi zawadi ya gari jipya la kisasa aina ya Tata Safari, Joseph Msofe lenye thamani ya Sh70 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tata Safari ya Sh70 mil la Chomoka na Mwananchi Des 13

Zimebaki siku chache kabla ya gari jipya aina ya Tata Safari lenye thamani ya Sh70 milioni kupata mshindi katika Promosheni ya Chomoka na Mwananchi ambayo inatarajiwa kufikia kilele Desemba 13,mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yaenda Morogoro kuivaa Mtibwa Sugar kesho

>Simba imeondoka jana Dar es Salaam kuelekea mjini Morogoro tayari kwa pambano lake la Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

10 years ago

GPL

MOROGORO, IRINGA, MBEYA WAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL

Mweka hazina wa chama cha pool taifa (TAPA), Zaholo Ligalu (kushoto), akimkabidhi nahodha wa klabu ya Anatori ya Morogoro  Shilingi 800/000/= baada ya kuibuka mabingwa. Baadhi ya wachezaji wa pool wa klabu ya Anatory ya Morogoro wakishangilia fedha za ushindi. KLABU za Anatory ya Morogoro, Ngija Masters ya Iringa na Break Point ya Mbeya… ...

 

11 years ago

TheCitizen

Carpenter drives away in Sh70m ‘Chomoka’ car

The grand prize in the Chomoka na Mwananchi promotion was yesterday presented to its winner.

 

9 years ago

Michuzi

TRL YASITISHA KWA MUDA SAFARI ZA TRENI YA BARA KUTOKANA NA MAFURIKO KATI YA MOROGORO NA DODOMA



Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL umetangaza kusitisha kwa muda kuanzia jana Januari 01, 2016, huduma zake baada ya eneo la reli ya kati ya Kilosa mkoani  Morogoro na Gulwe mkoani Dodoma tuta la reli kukumbwa na Mafuriko.  Kwa mujibu wa taarifa za kifundi eneo lililoathiriwa na mafuriko ni kubwa hivyo Wahandisi na Mafundi  wa TRL wako eneo la mafuriko  kutathmini ukubwa wa kazi yenyewe. Kutokana na  uamuzi huo treni ya abiria kutoka bara ilibidi safari yake ikatizwe ilipofika Dodoma na...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yaenda kamili Tanga

MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga leo wanaianza safari ya kwenda Tanga kusaka pointi sita muhimu. Yanga itakuwa na mechi na Mgambo Shooting keshokutwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kabla ya kumenyana na African Sports Jumatano ijayo kwenye uwanja huohuo.

 

10 years ago

Habarileo

Twiga Stars yaenda Zanzibar

TIMU ya taifa ya soka ya Wanawake, ‘Twiga Stars’ imeondoka jana kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na fainali za michezo ya Matifa Afrika ‘All African Games’ zinatarajiwa kufanyika Congo Brazzaville Septemba mwaka huu.

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars yaenda Congo

HATIMAYE timu ya soka ya taifa ya wanawake ya Twiga Stars, inatarajia kuondoka leo jioni kwa ndege maalum kwenda Congo Brazzaville kwenye Michezo ya Afrika ( All African Games).

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yajitoza faini, yaenda Uturuki

Pesa Sabuni ya Roho, ndivyo unavyoweza kusema baada ya Yanga kuipooza Kamati ya Maandalizi ya Kombe la Mapinduzi kwa kuipa Sh10 milioni kama kifuta jasho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani