Tata Safari ya Chomoka yaenda Morogoro
Kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), imemkabidhi zawadi ya gari jipya la kisasa aina ya Tata Safari, Joseph Msofe lenye thamani ya Sh70 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Tata Safari ya Sh70 mil la Chomoka na Mwananchi Des 13
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Simba yaenda Morogoro kuivaa Mtibwa Sugar kesho
10 years ago
GPLMOROGORO, IRINGA, MBEYA WAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL
11 years ago
TheCitizen16 Jan
Carpenter drives away in Sh70m ‘Chomoka’ car
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GGezIkr_pnc/VofMAVFBl5I/AAAAAAAIP2s/rYarBwOUMu0/s72-c/r.jpg)
TRL YASITISHA KWA MUDA SAFARI ZA TRENI YA BARA KUTOKANA NA MAFURIKO KATI YA MOROGORO NA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GGezIkr_pnc/VofMAVFBl5I/AAAAAAAIP2s/rYarBwOUMu0/s320/r.jpg)
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL umetangaza kusitisha kwa muda kuanzia jana Januari 01, 2016, huduma zake baada ya eneo la reli ya kati ya Kilosa mkoani Morogoro na Gulwe mkoani Dodoma tuta la reli kukumbwa na Mafuriko. Kwa mujibu wa taarifa za kifundi eneo lililoathiriwa na mafuriko ni kubwa hivyo Wahandisi na Mafundi wa TRL wako eneo la mafuriko kutathmini ukubwa wa kazi yenyewe. Kutokana na uamuzi huo treni ya abiria kutoka bara ilibidi safari yake ikatizwe ilipofika Dodoma na...
9 years ago
Habarileo10 Dec
Yanga yaenda kamili Tanga
MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga leo wanaianza safari ya kwenda Tanga kusaka pointi sita muhimu. Yanga itakuwa na mechi na Mgambo Shooting keshokutwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kabla ya kumenyana na African Sports Jumatano ijayo kwenye uwanja huohuo.
10 years ago
Habarileo08 Aug
Twiga Stars yaenda Zanzibar
TIMU ya taifa ya soka ya Wanawake, ‘Twiga Stars’ imeondoka jana kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na fainali za michezo ya Matifa Afrika ‘All African Games’ zinatarajiwa kufanyika Congo Brazzaville Septemba mwaka huu.
9 years ago
Habarileo03 Sep
Twiga Stars yaenda Congo
HATIMAYE timu ya soka ya taifa ya wanawake ya Twiga Stars, inatarajia kuondoka leo jioni kwa ndege maalum kwenda Congo Brazzaville kwenye Michezo ya Afrika ( All African Games).
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yajitoza faini, yaenda Uturuki