Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAWLA WAANDIMISHA MIAKA 25.


Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.

 CHAMA cha Wanawake Wanasheria Tanzania (TAWLA) wafanya maadhimisho  ya miaka 25 ya kujenga uwezo  na  kufanya uchechemuzi juu ya  haki ya  wanawake tangu kuanzishwa kwake mwaka 1990 hapa nchini.
 Akizungumza katika Uzinduzi wa Maandimisho ya Chama hicho yaliyofanyika katika ukumbi wa jengo la  YWCA jijini Dar es Salaam leo,  Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake wanasheria (TAWLA), Magreti Ringo amesema kuwa  chama hicho kimefanikiwa kutoa msaada wa kisheria kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA AHUTUBIA SHEREHE ZA MIAKA 25 WA TAWLA

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipozindua Uandishi wa Wosia katiak sherehe za miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wananwake (TAWLA0 kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam Mei 30, 2015.Kushoto ni balozi wa Sweden nchini, Lennarth Hjelaker 7452  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi Mwanaidi Maajar baada ya kuhutubia katika sherehe za siku ya Wanasheria Wananwakde Tanzania Tawla , kwenye viwanja vya  Karimjee jijini Dar es salaam Mei 30, 2015.Waziri...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA TANZANIA (TAWLA) CHAZINDUA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 TANGU KIANZISHWE

 Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chama cha Wanawake Wanasheria  Tanzania (TAWLA),  Margareth Ringo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akitoa taarifa, katika  maadhimisho ya miaka 25 ya kujengea uwezo na kufanya uchechemuzi juu ya haki ya wanawake. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TAWLA, Tike Mwambipile na Mjumbe wa Baraza la TAWLA, Annmarie Mavenjina. Mkurugenzi Mtendaji wa TAWLA, Tike Mwambipile (kulia), akizungumza katika...

 

10 years ago

GPL

CHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA TANZANIA (TAWLA) CHAZINDUA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 TANGU KIANZISHWE‏

 Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chama cha Wanawake Wanasheria  Tanzania (TAWLA),  Margareth Ringo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akitoa taarifa, katika  maadhimisho ya miaka 25 ya kujengea uwezo na kufanya uchechemuzi juu ya haki ya wanawake. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TAWLA, Tike Mwambipile na Mjumbe wa Baraza la TAWLA, Annmarie Mavenjina. ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi Tawla aburuzwa mahakamani

Waliokuwa wafanyakazi 10 wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) wamefungua kesi ya madai Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) dhidi ya Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho, Tike Mwambipile.

 

10 years ago

IPPmedia

Government to help TAWLA start crisis centre


Government to help TAWLA start crisis centre
IPPmedia
Deputy Minister for Lands, Housing and Settlements, Angela Kairuki at TAWLA �s reception to commemorate 25 years Anniversary. In recent years, acts of gender based violence (GBV) have become common in our daily lives. When you read or listen to the ...

 

10 years ago

Vijimambo

TAWLA: WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATENDE HAKI

Ofisa Uchaguzi na Utawala Bora wa Halmashauri ya Kisarawe, Constantene Mnemere, akizungumza na washiriki wa mdahalo wa amani wakati wa uchaguzi kwa watendaji wa Serikali za Mitaa,Polisi na watumishi wa Halmashauri hiyo jana.Ofisa Habari wa Chama Cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), Goodness Mrema, akielezea muongozo wa mdahalo wa amani kwa wenyeviti, watendaji wa serikali za mita na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani jana, wakati wa mdahalo wa kujadili amani wakati wa...

 

10 years ago

Michuzi

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATENDE HAKI :TAWLA

Ofisa Uchaguzi na Utawala Bora wa Halmashauri ya Kisarawe, Constantene Mnemere, akizungumza na washiriki wa mdahalo wa amani wakati wa uchaguzi kwa watendaji wa Serikali za Mitaa,Polisi na watumishi wa Halmashauri hiyo jana.Ofisa Habari wa Chama Cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), Goodness Mrema, akielezea muongozo wa mdahalo wa amani kwa wenyeviti, watendaji wa serikali za mita na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani jana, wakati wa mdahalo wa kujadili amani wakati wa...

 

10 years ago

Michuzi

WAFUGAJI WAPATIWA NA TAWLA ELIMU YA KISHERIA NA USHAURI

Mwenyekiti wa wasaidizi wa kisheria wilaya ya Monduli Mkoani Arusha, Ibramih Melita akizungumza na wafugaji wa kijiji cha Nanja kwenye mafunzo ya kujengewa uwezo wa kisheria yaliyotolewa na Chama cha wanawake wanasheria nchini (TAWLA) jana. Askari wa dawati la jinsia na watoto wa Mkoa wa Arusha, Baltazar Kitiku akizungumza na jamii ya wafugaji wa Kijiji Cha Nanja, Kata ya Lepruko Wilayani Monduli Mkoani humo, kuhusiana na kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kwenye mafunzo yaliyotolewa na...

 

10 years ago

Habarileo

TAWLA yataka vyama vya kutetea wanaume

CHAMA cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), kimesema wakati umefika kwa wanaume kutoona haya na kuanzisha vyama vyao vya utetezi ili kuwasaidia wanaume wanaonyanyaswa kijinsia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani