Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi Tawla aburuzwa mahakamani

Waliokuwa wafanyakazi 10 wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) wamefungua kesi ya madai Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) dhidi ya Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho, Tike Mwambipile.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MH. MAHANGA ABURUZWA MAHAKAMANI KWA KOSA LA KUKIUKA SHERIA ZA AJIRA

Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dkt Mahongoro Mahanga akitoka katika chumba cha mahakama ya kazi, Tume ya Usuluhishi na Upatanishi wiki iliyopita siku ya Jumanne baada ya kusomewa mashtaka yake ya kumfanyisha kazi PS wake (Private Secretary) Bi, Itika Kasambala katika ofisi yake ya Bunge kwa muda wa miaka kumi bila mkataba na kusitisha kazi yake na kisha kulipa mafao ya laki mbili tu.… ...

 

10 years ago

Mtanzania

Kigogo Ikulu aburuzwa Madili kwa Escrow

mnikuluNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIGOGO wa Ikulu (Mnikulu), Shabani Gurumo, amelishangaza Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kusema hakufahamu sababu za kuwekewa kiasi cha Sh 80,850,000 kwenye akaunti yake.
Mnikulu huyo alipinga madai ya yeye kupewa fedha na Kampuni ya VIP Engineering ila alipewa na James Rugemalira kutokana na urafiki wao walionao kwa muda wa miaka 10 na hazihusiani na mgawo.
Alisema wakiwa katika mazungumzo na rafiki yake Rugemalira, alipewa maelezo...

 

10 years ago

Habarileo

Nyama ya mbuzi yamkwama kooni, afa, mke aburuzwa kortini

MKAZI wa kijiji cha Nakachindu kata ya Mkundi Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani hapa, Asumini Bakiri (39) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la mauaji linalomkabili la kumuua mumewe, Simoni Simoni (45).

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA KIKE ABURUZWA NA BABA YAKE MTAA MZIMA KWENYE PIKIPIKI KWA KUTOKWENDA SHULE


Mtoto Anastazia Jumanne akiwa amefungwa  mikono yake kwenye pikipiki kwa mpira
Na Valence Robert-Geita
Mtoto Anastazia Jumanne (12) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi katika wilaya na mkoa wa Geita amefanyiwa ukatili wa kutisha baada kufungwa mpira kwenye pikipiki na baba yake mzazi na kisha kuanza kumburuza mtaani. Tukio hilo la kusikitisha limetokea jana majira ya sa tatu asubuhi katika moja ya mitaa ya mjini humo ambapo inadaiwa kuwa binti huyo anayesoma darasa la nne katika shule...

 

10 years ago

Michuzi

TAWLA WAANDIMISHA MIAKA 25.


Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.

 CHAMA cha Wanawake Wanasheria Tanzania (TAWLA) wafanya maadhimisho  ya miaka 25 ya kujenga uwezo  na  kufanya uchechemuzi juu ya  haki ya  wanawake tangu kuanzishwa kwake mwaka 1990 hapa nchini.
 Akizungumza katika Uzinduzi wa Maandimisho ya Chama hicho yaliyofanyika katika ukumbi wa jengo la  YWCA jijini Dar es Salaam leo,  Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake wanasheria (TAWLA), Magreti Ringo amesema kuwa  chama hicho kimefanikiwa kutoa msaada wa kisheria kwa...

 

10 years ago

IPPmedia

Government to help TAWLA start crisis centre


Government to help TAWLA start crisis centre
IPPmedia
Deputy Minister for Lands, Housing and Settlements, Angela Kairuki at TAWLA �s reception to commemorate 25 years Anniversary. In recent years, acts of gender based violence (GBV) have become common in our daily lives. When you read or listen to the ...

 

9 years ago

Vijimambo

TAWLA: WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATENDE HAKI

Ofisa Uchaguzi na Utawala Bora wa Halmashauri ya Kisarawe, Constantene Mnemere, akizungumza na washiriki wa mdahalo wa amani wakati wa uchaguzi kwa watendaji wa Serikali za Mitaa,Polisi na watumishi wa Halmashauri hiyo jana.Ofisa Habari wa Chama Cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), Goodness Mrema, akielezea muongozo wa mdahalo wa amani kwa wenyeviti, watendaji wa serikali za mita na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani jana, wakati wa mdahalo wa kujadili amani wakati wa...

 

9 years ago

Michuzi

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATENDE HAKI :TAWLA

Ofisa Uchaguzi na Utawala Bora wa Halmashauri ya Kisarawe, Constantene Mnemere, akizungumza na washiriki wa mdahalo wa amani wakati wa uchaguzi kwa watendaji wa Serikali za Mitaa,Polisi na watumishi wa Halmashauri hiyo jana.Ofisa Habari wa Chama Cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), Goodness Mrema, akielezea muongozo wa mdahalo wa amani kwa wenyeviti, watendaji wa serikali za mita na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani jana, wakati wa mdahalo wa kujadili amani wakati wa...

 

10 years ago

Habarileo

TAWLA yataka vyama vya kutetea wanaume

CHAMA cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA), kimesema wakati umefika kwa wanaume kutoona haya na kuanzisha vyama vyao vya utetezi ili kuwasaidia wanaume wanaonyanyaswa kijinsia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani