Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tazara sasa ‘mahututi’ yaomba kusaidiwa

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), Ronald Phiri amesema shirika hilo linaweza kufa iwapo wabia wake (Tanzania na Zambia), hawatachukua hatua za dharura ikiwamo kuongeza mitaji ya kuchochea kasi na ufanisi katika uzalishaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wenye ulemavu waomba kusaidiwa

HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imeombwa kuangalia uwezekano wa kutenga fedha kwa ajili ya kusaidia manunuzi ya vifaa visaidizi kwa ajili ya watu wenye ulemavu.

 

11 years ago

Habarileo

Wachimbaji wadogo kuendelea kusaidiwa

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen MaseleSERIKALI imesema itaendelea na juhudi ya kuwasaidia wachimbaji madini wadogo nchini ili waweze kufikia uchimbaji wenye tija.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchumi mdogo watakiwa kusaidiwa

Serikali imeshauriwa kutumia nguvu zaidi kuwekeza katika uchumi mdogo, ambao ndiyo unashikiliwa na kundi kubwa la Watanzania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Meya wa Toronto anataka kusaidiwa

Wakili wa meya huyo, amesema Bwana Ford amekiri kuwa na tatizo la utumizi mbaya wa madawa ya kulevya na kwamba angetaka kusaidiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbakaji ataka kusaidiwa kufa

Wizara ya sheria nchini Ubelgiji, imesema kuwa mwanamume aliyepatikana na hatia ya mauaji na ubakaji sasa hatasaidiwa katika azma yake ya kutaka kufariki kama alivyokuwa ameomba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wazee maskini kusaidiwa Kenya

Serikali itawapatia wazee masikini dola 24 kila mmoja kwa mwezi katika juhudi za kupunguza umasikini nchini

 

11 years ago

Habarileo

Maelfu ya watoto, wanawake kusaidiwa Lindi

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Save the Children, limesema linatarajia kuwasaidia watoto 14,000 na wanawake 32,000 katika vijiji 100.

 

10 years ago

GPL

SHULE MBALIMBALI DAR KUSAIDIWA NA TAASISI YA SVF

Katibu Mkuu wa SVF, Leontine B. Rwechungura (wa pili kushoto) akizungumza jambo katika mkutano huo. Ofisa Elimu, Elimu ya Watu Wazima mkoa wa Dar, Benadetha…

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

‘’Nassra mtoto aliekatisha ndoto za kusoma anaehitaji kusaidiwa’’

Ni Nassra Salum Khalid mkaazi wa Kilima hewa wilaya ya magharib Unguja ni mwanafunzi aliekatisha masomo yake ya darasa la saba siku chache kabla ya kukaribia kufanya mtihani wa Taifa kuingia kidato cha kwanza. Nassra ni […]

The post ‘’Nassra mtoto aliekatisha ndoto za kusoma anaehitaji kusaidiwa’’ appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani