Tazara yapata injini na mabehewa mapya
Mamlaka ya reli ya Tanzania na Zambia TAZARA imepokea injini nne mpya za umeme zinazotumia mafuta ya dizeli pamoja na mabehewa 18 ya abiria yote kwa thamani ya dola milioni 22.4.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MABEHEWA MABEHEWA MAPYA YA TRL LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
11 years ago
Habarileo26 Jan
Tanzania yaomba mabehewa, injini za treni
SERIKALI ya Uingereza inatafakari ombi la Tanzania la mabehewa na injini za treni, ambayo nchi hiyo haizitumii tena, lakini bado ni nzima kwa ajili ya kusaidia kuimarisha usafiri wa reli katika Tanzania na hasa wa Jiji la Dar es Salaam.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GxNpMVtIVlk/VmAB0YWkzvI/AAAAAAAIJ7A/_UHcjvQ7n6E/s72-c/8.jpg)
TAZARA yapokea mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China
![](http://3.bp.blogspot.com/-GxNpMVtIVlk/VmAB0YWkzvI/AAAAAAAIJ7A/_UHcjvQ7n6E/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W3b2HJc_pzU/VmAB1E7pMVI/AAAAAAAIJ7E/gXjIUTb1Cpg/s640/9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qkNwhIt-cDw/VmAB83P42hI/AAAAAAAIJ7Y/3qSesLVbGHM/s640/10.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Pinda apokea mabehewa mapya ya TRL
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison Mwakyembe wakikagua moja ya mabehewa mapya ya TRL yaliyonunuliwa kwa fedha ya serikali wakati alipokwenda kwenye Bandari ya Dar es salaam Desemba 8, 2014 kupokea mabehewa hayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison Mwakyembe (kulia kwake) na Naibu Waziri wake, Dr. Charles Tizeba (kulia) kukagua baadhi ya mabehewa mapya ya Shirika la Reli nchini (TRL)...
11 years ago
Habarileo26 May
Mabehewa mapya kuanza kuingia Julai
MABEHEWA mapya 22 ya abiria, 274 ya mizigo na 34 ya breki pamoja na vichwa vinane vipya vya treni, yanatarajiwa kuwasili kati ya Julai na Desemba mwaka huu, imefahamika.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MABEHEWA 22 YA TRENI YA ABIRIA YA DELUXE NI MAPYA! - TRL
![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Hoja kuwa tokea yawasili nchini mwezi Desemba , 2014 hayajaanza kutumika kwa vile ni mabovu ni upotoshaji wa ukweli. Ukweli ni kwamba kuanzia Novemba 24, 2014 TRL ilipeleka ...
10 years ago
VijimamboPINDA APOKEA MABEHEWA MAPYA YA TRL LEO
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Wahamiaji 2 wajificha ndani ya injini