Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji 2 wajificha ndani ya injini

Mhamiaji kutoka Afrika afanikiwa kuingia Uhispania kutoka Morocco akiwa amejikunja ndani ya injini ya gari na mwingine akijificha nyuma ya kiti cha gari

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wahamiaji haramu wakamatwa ndani ya basi

JESHI la Polisi mkoani Dodoma linawashikilia watu sita wakiwemo raia wanne wa Ethiopia kwa kuingia nchini kinyume cha sheria. Raia hao wa Ethiopia walikamatwa wakiwa katika basi la Kampuni ya Simiyu Express lenye namba za usajili T.892 AQY lililokuwa likitoka Mwanza kwenda Dar es Salaam.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maisha ya kutekeleza amri ya kusalia ndani kwa wahamiaji haramu

Takribani wafanyakazi milioni 1 wasiokuwa na vibali Uingereza wanawasiwasi wa kutafuta msaada wakipata corona.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yanunua injini mpya 13

SERIKALI inatarajia kununua vichwa vipya 13 vya treni pamoja na mabehewa 22 ya abiria na mengine 204 ya mizigo. Kauli hiyo ilitolewa juzi bungeni na Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison...

 

10 years ago

BBCSwahili

Lotus kutumia injini za Mercedes

Magari ya Lotus ya Formula 1 yataanza kutumia injini za Mercedes badala ya Renault 2015.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yaomba mabehewa, injini za treni

SERIKALI ya Uingereza inatafakari ombi la Tanzania la mabehewa na injini za treni, ambayo nchi hiyo haizitumii tena, lakini bado ni nzima kwa ajili ya kusaidia kuimarisha usafiri wa reli katika Tanzania na hasa wa Jiji la Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tazara yapata injini na mabehewa mapya

Mamlaka ya reli ya Tanzania na Zambia TAZARA imepokea injini nne mpya za umeme zinazotumia mafuta ya dizeli pamoja na mabehewa 18 ya abiria yote kwa thamani ya dola milioni 22.4.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Injini 5 za Ujerumani Fainali za Kombe la Dunia Brazil

MIONGONI mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za nchini Brazil, ni Ujerumani. Ujerumani, wenyeji wa fainali hizo wa mwaka 2006, ni timu...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yawakabidhi wavuvi injini za boti kuboresha uvuvi nchini


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa kwanza kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Kyela ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe injini ya boti iliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kikundi cha wavuvi cha Kyela mkoani Mbeya wakati wa hafla ya makabidhiano ya injini hiyo leo jijini Dodoma.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa pili kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Mtwara Vijinini Hawa Ghasia (wa kwanza kulia) moja ya injini ya boti kati ya mbili...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAWASHIKILIA WATUHUMIWA WANNE, LAKAMATA INJINI ZA BOTI

JESHI LA POLISI (M) MWANZA CHINI YA KAMISHENI YA USHIRIKISHWAJI WA UMMA KATIKA KUZUIA VITENDO VYA UHALIFU KWA KUTUMIA MFUMO WA ULINZI SHIRIKISHI KWA  LINAWASHIKILIA WATUHUMIWA 4, IKIWA NI PAMOJA NA KUKAMATA INJINI ZA  BOTI (BOAT) ZA AINA MBALIMBALI 13, HIYO IKIWA NI SEHEMU YA MWENDELEZO WA OPARESHENI KALI DHIDI YA WAHALIFU KATIKA ZIWA VICTORIA.
HUSUSANI VISIWA VYA JUMA, GEMBALE NA ZILAGULA, VILIVYOPO WILAYA YA SENGEREMA, AMBAPO WALIKAMATWA WATUHUMIWA WANNE AMBAO NI;-1. FILBERT KIPARA @...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani