Wahamiaji 2 wajificha ndani ya injini
Mhamiaji kutoka Afrika afanikiwa kuingia Uhispania kutoka Morocco akiwa amejikunja ndani ya injini ya gari na mwingine akijificha nyuma ya kiti cha gari
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
Wahamiaji haramu wakamatwa ndani ya basi
JESHI la Polisi mkoani Dodoma linawashikilia watu sita wakiwemo raia wanne wa Ethiopia kwa kuingia nchini kinyume cha sheria. Raia hao wa Ethiopia walikamatwa wakiwa katika basi la Kampuni ya Simiyu Express lenye namba za usajili T.892 AQY lililokuwa likitoka Mwanza kwenda Dar es Salaam.
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Maisha ya kutekeleza amri ya kusalia ndani kwa wahamiaji haramu
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Serikali yanunua injini mpya 13
SERIKALI inatarajia kununua vichwa vipya 13 vya treni pamoja na mabehewa 22 ya abiria na mengine 204 ya mizigo. Kauli hiyo ilitolewa juzi bungeni na Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison...
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Lotus kutumia injini za Mercedes
11 years ago
Habarileo26 Jan
Tanzania yaomba mabehewa, injini za treni
SERIKALI ya Uingereza inatafakari ombi la Tanzania la mabehewa na injini za treni, ambayo nchi hiyo haizitumii tena, lakini bado ni nzima kwa ajili ya kusaidia kuimarisha usafiri wa reli katika Tanzania na hasa wa Jiji la Dar es Salaam.
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Tazara yapata injini na mabehewa mapya
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Injini 5 za Ujerumani Fainali za Kombe la Dunia Brazil
MIONGONI mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za nchini Brazil, ni Ujerumani. Ujerumani, wenyeji wa fainali hizo wa mwaka 2006, ni timu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jxPvF-AblpI/Xrr0WISIvOI/AAAAAAALp-E/0J2_brrMiv8dyPG0NldfX_YLEqFXCaIugCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Serikali yawakabidhi wavuvi injini za boti kuboresha uvuvi nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-jxPvF-AblpI/Xrr0WISIvOI/AAAAAAALp-E/0J2_brrMiv8dyPG0NldfX_YLEqFXCaIugCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa kwanza kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Kyela ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe injini ya boti iliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kikundi cha wavuvi cha Kyela mkoani Mbeya wakati wa hafla ya makabidhiano ya injini hiyo leo jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/0b7cf848-623b-4e88-b0dd-c3eb6aa89a70.jpg)
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (wa pili kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Mtwara Vijinini Hawa Ghasia (wa kwanza kulia) moja ya injini ya boti kati ya mbili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ue6j248sCV0/Xru-XHWoQuI/AAAAAAALqCI/sptNgMlmGM4aKoVfmxF-WyvtloyCG-VEwCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAWASHIKILIA WATUHUMIWA WANNE, LAKAMATA INJINI ZA BOTI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ue6j248sCV0/Xru-XHWoQuI/AAAAAAALqCI/sptNgMlmGM4aKoVfmxF-WyvtloyCG-VEwCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
HUSUSANI VISIWA VYA JUMA, GEMBALE NA ZILAGULA, VILIVYOPO WILAYA YA SENGEREMA, AMBAPO WALIKAMATWA WATUHUMIWA WANNE AMBAO NI;-1. FILBERT KIPARA @...