Temeke Queens yapigwa 4-0 Ligi Mkoa Dar
TIMU ya soka ya Mburahati Queens imeibuka kidedea dhidi ya Temeke Queens baada ya kuigaragaza kwa 4-0 katika mchezo wa Ligi ya Wanawake mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKATIBU CCM MKOA WA DAR AZINDUA SEMINA ELEKEZI KWA MABALOZI WA MASHINA YA KATA YA VITUKA JIMBO LA TEMEKE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-clotu9eEilo/VPgncSMu4kI/AAAAAAAHHxk/MrmmFZwt4Nk/s72-c/basata.jpg)
BASATA KUENDESHA PROGRAM YA MAFUNZO YA SANAA KWA WATOTO WAPATAO 215 KUTOKA WILAYA YA TEMEKE MKOA WA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-clotu9eEilo/VPgncSMu4kI/AAAAAAAHHxk/MrmmFZwt4Nk/s1600/basata.jpg)
Kwa mujibu wa Sera ya Taifa ya Utamaduni ya mwaka 1997 sura ya 9.6.16 Baraza linaelekezwa kushirikiana na wadau katika kuendesha matukio mbalimbali ya sanaa kama programu hii ya watoto.
Programu hii ya Sanaa kwa watoto ambayo...
10 years ago
Michuzi31 Jan
DRFA YATANGAZA TIMU ZILIZOINGIA 18 BORA LIGI YA MKOA WA DAR ES SALAAM
Timu hizo ni kutoka katika kundi (A) ambazo ni Red Coast,Yanga U20,Changanyikeni na Ukonga UTD,kundi (B) Simba U20,Stakishari,Zakhem na Beira Hotspurs,kundi (C) FFU,Sifa UTD,Pan Africa na Sinza Stars,huku kundi (D) likitoa timu za Shababi,New Kunduchi,Ugimbi na Azania Ngano.
Timu mbili zilizopata nafasi ya kuongezwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s72-c/21.jpg)
TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s640/21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTC19pYqSnA/VeQe644JKAI/AAAAAAACiNE/O1683JmmbW0/s640/07.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8-4xuQwqDQ/VeQdyjbWJoI/AAAAAAACiMM/I0IuAK9lmC4/s640/16.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jan
Mwanza Queens waichapa Mara Queens Goli 6 kwa 1 katika mechi ya uzinduzi wa Women Taifa Cup jijini Mwanza leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL59ireTssc/VKVmwlHxNfI/AAAAAAAAds0/DcxR81oF1U4/s1600/IMG-20150101-WA0063.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gGfnzdlELY/VKVmZb_-3GI/AAAAAAAAdsE/geupwHG02DE/s1600/IMG-20150101-WA0057.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Feb
DRFA yataja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam
Ligi hiyo ya mkoa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_8c2vkIZEN0/VKVmBEPiLII/AAAAAAAAdr8/Hz-b-iqYLdY/s72-c/IMG-20150101-WA0055.jpg)
MWANZA QUEENS WAICHAPA MARA QUEENS GOLI 6 KWA 1 KATIKA MECHI YA UZINDUZI WA WOMEN TAIFA CUP MCHEZO ULIOCHEZWA JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_8c2vkIZEN0/VKVmBEPiLII/AAAAAAAAdr8/Hz-b-iqYLdY/s1600/IMG-20150101-WA0055.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL59ireTssc/VKVmwlHxNfI/AAAAAAAAds0/DcxR81oF1U4/s1600/IMG-20150101-WA0063.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gGfnzdlELY/VKVmZb_-3GI/AAAAAAAAdsE/geupwHG02DE/s1600/IMG-20150101-WA0057.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Hospitali ya Mkoa Singida yapigwa tafu ya mashuka na benki ya Posta nchini
Meneja wa benki ya Posta tawi la Singida, Redenoter Rweyemamu, akizungumza kwenye hafla ya benki hiyo kutoa msaada wa shuka 104 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili, kwa hospitali ya mkoa mjini hapa, inayokabiliwa na uhaba wa shuka na kusababisha wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi kitendo ambacho ni kinyume na taratibu.