Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TETESI ZA SOKA ULAYA IJUMAA 15.05.2020

David Silva mwenye umri wa miaka 34, kwa Manchester City unakamilika Juni 30 lMkataba wa David Silva mwenye umri wa miaka 34, kwa Manchester City unakamilika Juni 30 lakini Mhispania huyo anayecheza safu ya kati,yuko tayari kuongeza mkataba huo hadi mwisho wa msimu, kabla ya kufunganya virago. (Times - subscription required)Manchester United wamekuwa wakimsaka Schalke na Rabbi Matondo na huenda wakamnunua mchezaji huyo wa miaka 19, wakishindwa kumsainisha mshambuliaji wa Borussia Dortmund na England, Jadon Sancho, 20. (Manchester Evening News)Mchezaji Dries Mertens...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa tarehe 20.03.2020

Manchester United imeomba kusaini mkataba na mshambuliaji Mbrazil Philippe Coutinho, mwenye umri wa miaka 27, kutoka Barcelona. (Mundo Deportivo)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 03.04.2020:Wilson, Aubameyang, Ceballos

Mshambuliaji wa Bournemouth Callum Wilson, 28, amesema hastahili kuhusishwa na ligi kubwa kama ya England kutokana na namna uchezaji wake duni msimu huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 17.04.2020: Bellingham, Grealish, Rodriguez, Brozovic

Wakala wa mshambuliaji wa Real Madrid na Colombia James Rodriguez, 28, amewasiliana na Manchester United kuhusu uwezekano wa uhamisho wa nyota huyo msimu huu. (Sport via Metro)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 27.03.2020: Haaland, Ighalo, Pogba, Pedro, Gabriel

Mshambuliaji wa Manchester United Odion Ighalo mwenye miaka 30, amepewa ofa ya kuongezewa mkataba wa miaka miwili na timu yake ya China Shanghai Shenhua huku mshahara ukipanda mpaka paundi 400,000 kwa wiki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 26.06.2020: Arthur, Pjanic, Pedro, Bellingham, Willian

Kiungo wa kati wa Barcelona na Brazil Arthur, 23, anakaribia kukubali uhamisho wa kima cha euro 72.5 milioni kuelekea Juventus

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 10.04.2020: Messi, Grealish, Mbappe, Pedro, Coutinho

Mshambuliaji wa Barcelona na Argentina Lionel Messi, 32, amekanusha kwa kupitia mitandao ya kijamii ripoti kuwa ana mpango wa kuhamia klabu ya Inter Milan. (Instagram)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 8.5.2020: Coutinho, Koulibaly, Sancho, Icardi, Aubameyang

Newcastle inataka kumsajili beki wa kati wa Napoli na Senegal Kalidou Koulibaly

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 27.06.2020: Guendouzi, Hart, Forster, Pereira, Ronaldinho

Mkufunzi wa Arsenal amekataa kutoa hakikisho kwamba Matteo Guendouzi atasalia katika klabu hiyo msimu ujao kufuatia ripoti kwamba kiungo huyo wa kati wa Arsenal na raia wa Ufaransa anataka kuondoka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 13.03.2020: Partey, Belotti, Ighalo, Willian, Onana

Arsenal inajiandaa kuwasilisha ombi la kumsajili mchezaji wa Atletico Madrid Thomas Partey. Kiungo huyo wa Ghana, 26, ana kifungu cha pauni mmilioni 45 ili kuondoka katika klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani