Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za usajili: De Gea kuuzwa ?

Mustakabali wa kipa David de Gea kusalia Manchester United upo shakani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 27.04.2020: Coutinho, Aubameyang, De Gea, Rakitic, Neymar

Kiungo wa kati wa Barcelona Philippe Coutinho, ambaye yuko kwa mkopo Bayern Munich, aliambiwa na Liverpool kuwa hawana mpango wa kumsajili tena mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 10.05.2020: Meunier, De Gea, Martinez, Milinkovic-Savic, Magno, Saka

Tottenham inaiongoza klabu ya Manchester United katika harakati za kumsaini beki wa kulia wa PSG Thomas Meunier, 28. (Sun on Sunday)

 

10 years ago

Vijimambo

Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea

David De Gea
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea toka klabu ya Man United usajili huu utavunja rekodi ya uhamisho iliyowekwa na kipa Gianluigi Buffon aliehamia Juventus toka Parma.Huku kukiwa na taarifa De Gea anafuraha kubaki na kikosi cha Manchester United na atasaini mkataba mpya .

Timu ya Liverpool imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Guillermo Ochoa toka klabu ya Malaga kwa dau la £3milion ili kuwa mbadala wa Simon Mignolet ambae...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Usajili

Arsenal na Liverpool wanachuana Juventus katika kuwania saini ya beki wa kulia wa Barcelona Martin Montoya, mwenye miaka 23 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetesi za usajili Barani ulaya

Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi kwa kwa mlinda mlango David De Gea toka klabu ya Man United.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetesi za mawindo ya usajili Ulaya

Manchester United inaweza kutumia mpaka kiasi cha pauni milioni 350 kwa kipindi cha miaka miwili katika kusajili wachezaji wapya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vilabu vya Ulaya na Tetesi za usajili .

Timu ya Manchester United iko tayari kutoa paundi milioni 120 kwaajili ya kumsajili winga Gareth Balle

 

10 years ago

Michuzi

JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.

Wakopwaji/wadaiwa  wamekuwa  wakipata shida sana  kutoka  kwa wanaokopesha. Mkopesha awe ni mtu binafsi, taasisi ya fedha , kampuni  binafsi au mwingine  yeyote  wamekuwa  wakiwasumbua sana  wadeni  wao. Kubwa  zaidi hasa taasisi za fedha hutumia masharti ya mikataba ambayo  huwa yameandaliwa kitaalam kiasi cha  mtu ambaye  si mwanasheria  kutoelewa kwa undani maana  yake  kuwabana wadeni  ambao  hushtukia  masharti hayo baada  ya  kuwa wameshaanza  kudaiwa. Mbaya  zaidi  wamekuwa  wakifanya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 24.02.2020: Tetesi za uhamisho wa Zlatan, Smalling, Mkhitaryan, Phillips, Kostic

Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa klabu wa AC Milan Paolo Maldini anasema Mswidi Zlatan Ibrahimovic, mwenye umri wa miaka 38, amefanya marekebisho ya kipengele cha mkataba wake iwapo Wataliano watafuzu kuingia Championi. (Mail)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani