Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za soka Ulaya Jumapili 10.05.2020: Meunier, De Gea, Martinez, Milinkovic-Savic, Magno, Saka

Tottenham inaiongoza klabu ya Manchester United katika harakati za kumsaini beki wa kulia wa PSG Thomas Meunier, 28. (Sun on Sunday)

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 12.04.2020: Kane, Martinez, Sancho, Upamecano, Kamara, Matic

Uefa inatarajia kukamilisha msimu huu wa michuano ya Klabu Bingwa Ulaya na Ligi ya Europa mwezi Agosti kwa kutumia kipindi cha wiki tatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 02.04.2020: Belligham, Braithwaite, Sancho, Meunier

Mshambuliaji wa England Marcus Rashford amekiri kuwa anatamani sana kucheza na mshambuliaji mwenzake wa Borussia Dortmund Jadon Sancho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 09.05.2020 : Victor ,Savic, Pjanic, Eriksen, Umtiti

Mashaka juu ya uwezo wa Victor Lindelof yamesababisha Manchester United kuwa na nia ya kujiimarisha katika safu ya ulinzi wa kati. (ESPN)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 11.05.2020: Aubameyang, Ighalo, Upamecano, Martinez

Mshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 30, alimuahidi marehemu babu yake kuwa atachezea Real Madrid. (Sun)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 17.03.2020: Mahrez, Umtiti, Dembele, Telles, Martinez

Manchester City itazuia uhamisho wa winga wa Algeria Riyad Mahrez, 29, wa kujiunga na Paris St-Germain msimu wa joto. (Goal)

 

5 years ago

BBCSwahili

tetesi za soka Ulaya Jumanne 07.04.2020: Sancho, Martinez, Traore, Lingard, Giroud

Barcelona wanataka kumsajili mshambuliaji wa Argentina Lautaro Martinez, 22, kutoka klabu ya Inter Milan lakini wanakabiliana na ushindani mkali kutoka kwa Real Madrid na Manchester City. (Marca)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 18.03.2020: Bale, Mahrez, Martinez, Trippier, Mkhitaryan

Real Madrid wanapanga mikakati itakayomuwezesha mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale, 30, kuondoka kwa uhamisho bila malipo. (Marca)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 13.02.2020: Ighalo, Werner, Coutinho, Sancho, Saka, Ramsey, Slimani

Mshambuliaji wa Manchester United Odion Ighalo, 30, amepigwa marufuku katika uwanja wa mazoezi wa klabu hiyo kutokana na hofu ya hatari ya maambukizi ya virusi vya .(Mirror)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 08.06.2020:Chilwell, Koulibaly, Martinez, Pjanic, Zaniolo, Rakitic

Manchester United na Real Madrid wanachunguza hali ya mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 22 baada ya mazungumzo ya kuhamia Barcelona kugonga mwamba. (Marca via Mirror)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani