Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 09.05.2020 : Victor ,Savic, Pjanic, Eriksen, Umtiti
Mashaka juu ya uwezo wa Victor Lindelof yamesababisha Manchester United kuwa na nia ya kujiimarisha katika safu ya ulinzi wa kati. (ESPN)
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 21.03.2020: Matic, Zaha, Willian, Soumare, Boga, Pjanic, Alaba
Ligi ya Primia kwa mara nyingine tena inachunguza jinsi ya kucheza michoze ndani ya nyumba wakati huu wa mzozo wa coronavirus ili kukamilisha msimu wa soka . (Independent)
5 years ago
BBCSwahili22 May
Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 22.05.2020: Umtiti, Koulibaly, Pjanic, Haaland, Rabiot
Barcelona wamepunguza bei ya kumuuza beki wao wa kati Samuel Umtiti wakati huu ambapo klabu za Manchester United na Arsenal zinamnyatia mchezaji huyo. (Sport - in Spanish)
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 17.03.2020: Mahrez, Umtiti, Dembele, Telles, Martinez
Manchester City itazuia uhamisho wa winga wa Algeria Riyad Mahrez, 29, wa kujiunga na Paris St-Germain msimu wa joto. (Goal)
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 26.06.2020: Arthur, Pjanic, Pedro, Bellingham, Willian
Kiungo wa kati wa Barcelona na Brazil Arthur, 23, anakaribia kukubali uhamisho wa kima cha euro 72.5 milioni kuelekea Juventus
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 08.06.2020:Chilwell, Koulibaly, Martinez, Pjanic, Zaniolo, Rakitic
Manchester United na Real Madrid wanachunguza hali ya mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, 22 baada ya mazungumzo ya kuhamia Barcelona kugonga mwamba. (Marca via Mirror)
5 years ago
BBCSwahili10 May
Tetesi za soka Ulaya Jumapili 10.05.2020: Meunier, De Gea, Martinez, Milinkovic-Savic, Magno, Saka
Tottenham inaiongoza klabu ya Manchester United katika harakati za kumsaini beki wa kulia wa PSG Thomas Meunier, 28. (Sun on Sunday)
5 years ago
BBCSwahili21 May
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 21.05.2020: Sane, Victor Moses, Jorginho, Ighalo, Neymar
Wakala wa Jorginho, 28, amesisitiza kuwa kiungo wa Italia ana furaha katika kikosi cha Chelsea na kuda kuwa Juventus
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 24.02.2020: Tetesi za uhamisho wa Zlatan, Smalling, Mkhitaryan, Phillips, Kostic
Mkurugenzi wa masuala ya kiufundi wa klabu wa AC Milan Paolo Maldini anasema Mswidi Zlatan Ibrahimovic, mwenye umri wa miaka 38, amefanya marekebisho ya kipengele cha mkataba wake iwapo Wataliano watafuzu kuingia Championi. (Mail)
5 years ago
CCM Blog16 May
TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAMOSI 16.05.2020
![Erling Braut Haaland](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/F442/production/_112303526_f8469875-4940-4db9-a488-f44dd6f10127.jpg)
![Jesus](https://ichef.bbci.co.uk/news/624/cpsprodpb/675C/production/_112306462_9f0ed32e-892b-44a2-853f-eec16f73c28e.jpg)
![Gabriel Jesus](https://ichef.bbci.co.uk/news/624/cpsprodpb/16972/production/_112303529_8c3a4e5b-d6f1-48c9-901d-156df5787f3f.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania