Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


THBUB yalaani mauaji ya Askari Polisi na kujeruhiwa kwa wanachama wa CUF

pix 1

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB), Mhe. Bahame Nyanduga.

Tamko la Tume kulaani mauaji ya Polisi.pdf by moblog

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

THBUB yalaani mauaji ya askari polisi na raia Stakishari — DSM

MB1

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Tom Nyanduga.

Tamko la THBUB kulaani Mauaji ya Polisi Stakishari-DSM.pdf 

 

10 years ago

Habarileo

THBUB yalaani mauaji ya polisi

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imelaani mauaji yaliyofanywa na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi, katika kituo cha Polisi Stakishari, Dar es Salaam juzi.

 

10 years ago

Dewji Blog

THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!

1

Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).

Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog

 

9 years ago

StarTV

Polisi Mwanza yamshikiliwa Askari PC Joel Francis kwa mauaji

Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limeamshikilia Askari No. F 4965 PC Joel Francis almaarufu Masai kwa tuhuma za kumpiga na kumsabibishia kifo kijana Donald Magalata ambaye alikuwa akiishi naye kama ndugu.

Tukio hilo lilitokea Januari mosi mwaka huu majira ya saa 7 usiku  katika kambi ya polisi Mabatini jijini Mwanza.

Askari huyo anadaiwa kufanya tukio hilo mara baada  ya kubaini kuwa katika pochi yake iliyokuwa na kadi mbili za benki na kitambulisho cha kazi havipo hali iliyosababisha mzozo...

 

10 years ago

Michuzi

ASKARI POLISI ALIYEUAWA KIKATILI AAGWA LEO MKOANI DODOMA, MTUHUMIWA WA MAUAJI AUWAWA NA WANANCHI

Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kama Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema kama alivyotoa taarifa jana tarehe 04/02/2015 kuhusiana na kuawa kwa Askari  Namba G. 7168 PC JOSEPH ISACK SWAI huko Chango’ombe ya juu Mkoani Dodoma na mtu aliyefamika kwa jina la TISSI S/O SIRIL MALYA.Jeshi la Polisi Mkoa wa Dododoma lilianza msako wa kumtafuta mtuhumiwa huyo baada ya kufanya kitendo hicho cha kinyama cha kumkata kata kwa...

 

10 years ago

Michuzi

CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakutana Zanzibar Januari 13, kwa kikao cha kawaida cha siku moja chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete. 
Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani