The Game amnunulia gari P. Diddy
NEWYORK, Marekani
RAPA Jayceon Terrell ‘The Game’, amemnunulia zawadi ya gari aina ya Ferrari msanii mwenzake, Sean Combs ‘P.Diddy’, baada ya kumkutanisha na prodyuza Dr. Dre.
Katika mtandao wa TMZ, Game alieleza kwamba haikuwa rahisi kufanya kazi na Dr Dre, lakini kupitia Diddy aliweza kufanikisha ndoto yake na mtayarishaji huyo kazi zilizompa mafanikio aliyonayo hivi sasa.
“Bila Diddy nisingepata dili la kurekodi na Dr, hivyo kama shukrani nimeamua kumpa zawadi hii ndogo ya gari,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo529 Sep
Diamond amnunulia Wema gari jipya kama zawadi ya birthday
9 years ago
Bongo529 Sep
Music: The Game feat. Diddy — Standing On Ferraris
10 years ago
Bongo Movies29 Sep
Birthday ya Wema jana: Diamond amnunulia gari jipya kama zawadi ya birthday
Jumapili ya September 28 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa mrembo aliyebeba taji la Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. katika kusheherekea siku hiyo mpenzi wake Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz alithibitisha kwa vitendo kuwa mapenzi yao bado yako imara, kwa kumnunulia zawadi ya gari jipya aina ya Nissan.
Picha ya gari hilo la rangi nyeusi iliambaatana na ujumbe mzuri ambao Diamond alimwandikia wema kupitia akaunti yake ya Instagram yenye followers 236,841.
“Nlitama nikupe vingi, wenda...
9 years ago
Mtanzania07 Sep
The Game amsaka aliyevunja gari lake
LOS ANGELES, Marekani
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Jayceon Taylor ‘The Game’, amesema anamtafuta mtu aliyevunja vioo vya gari lake aina ya Lamborghini.
Mtandao wa TMZ umeeleza kwamba, msanii huyo alivamiwa na watu wasiojulikana na kuvunja vioo vya gari hilo likiwa limeegeshwa eneo la barabara.
Kupitia akaunti ya mtandao wa Instagram, msanii huyo amesema anamtafuta mtu aliyehusika na tukio hilo ili akabiliane naye.
“Kama kuna mtu anamjua mhusika wa tukio hilo anijulishe, nitatoa zawadi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dYw30n6tUGsyrECfHHKiXAA3ke2B1vqp5oxGTVpnXF8LaggcHQ1vJRgnkV8lusTGubNFFdVqC94C1Mb4eXCwFT1/NAY.jpg?width=650)
NAY AMNUNULIA MPENZI WAKE NDINGA
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-iBPxxYd83BA/VYpaLISF0KI/AAAAAAAACOE/0ZeuV0Uqu4Q/s72-c/diddy.jpg)
DIDDY's SON: THANKS DAD FOR FIGHTING FOR ME
![](http://2.bp.blogspot.com/-iBPxxYd83BA/VYpaLISF0KI/AAAAAAAACOE/0ZeuV0Uqu4Q/s400/diddy.jpg)
Diddy's son is totally cool with his father brawling with his football coaches -- in fact ... he's thanking Diddy for the fight that cost him multiple felonies.Justin Combs broke his silence about his dad's arrest by posting a pic of himself and Diddy ... with the caption, "I thank God for having a father that's always there for me.. Love you pops!"
TMZ Sports broke the story -- we're told Justin's strength and conditioning coach, Sal Alosi, had called him out ... saying, "I don't care if...
10 years ago
Mtanzania14 May
P. Diddy hana mpango wa kuoa
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MSANII tajiri nchini Marekani, Sean John ‘P. Diddy’, amesema hana mpango wa kuoa kwa sasa ingawa anaishi na Cassie kwa miaka nane hadi sasa katika uhusiano wao wa kimapenzi.
Msanii huyo ana watoto watano wakiwemo wawili wa mpenzi wake, Cassie.
Kiongozi huyo wa kundi la Bad Boy mwenye umri wa miaka 45, amesema wanachama wa kundi hilo hawakatazwi kuishi bila ya kuoa.
“Sijui kama nitakuja kuoa, huo ni utaratibu wa maisha yangu nadhani mtu unatakiwa kuwa tayari kwa kuwa...