‘The Queen Latifah Show’ yasitishwa, mashabiki waililia
Baada ya misimu miwili kwenye televisheni, The Queen Latifah Show’ haitarejea tena. Kusitishwa kwa talk show hiyo iliyokuwa ikipendwa kulitangazwa jana kwa madai mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukosa watazamaji wapya. “Tunapenda kumshukuru Dana, watayarishaji na timu nzima ya The Queen Latifah Show kwa kutengeneza kipindi ambacho sote tulikuwa tukijivunia,” Sony Pictures Television waliandika kwenye […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
The A.V. Club27 Feb
Queen Sono is Netflix's newest binge-worthy TV show
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wahitimu Veta waililia serikali
SERIKALI imeobwa kulegeza masharti ya upatikanaji wa leseni za kufungua kampuni ili kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi stadi (VETA). Ombi hilo limetolewa...
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Pichaz 10 za show ya Yamoto Band ndani ya Mombasa Kenya, mashabiki walivyochezeshwa kimadoido …
Yamoto Band baada ya kusambaza upendo wa burudani pange za Geita, Mwanza, Songea, Mbinga na Mbambabay, usiku wa mkesha mwaka mpya yaani December 31 walioamua kwenda kutoa burudani ya nguvu kwa majirani zao wa Kenya. Yomoto Band walidondosha burudani pande za Mombasa Kenya. Yamoto walipiga show ya hit singles zao zote na kuukaribisha mwaka mpya […]
The post Pichaz 10 za show ya Yamoto Band ndani ya Mombasa Kenya, mashabiki walivyochezeshwa kimadoido … appeared first on...
9 years ago
Bongo502 Nov
#Filledthedome: Mashabiki wa Cassper Nyovest wamkejeli AKA Instagram baada ya kupost picha ya show yake
![Cassper n AKA](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Cassper-n-AKA-94x94.jpg)
10 years ago
Bongo520 Sep
Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-A0HnV7K6r0M/VcXE_XA49vI/AAAAAAAAXTQ/guYeKpgKPE0/s72-c/diamond.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/74yOUWbFvsw/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Skylight Band yazidi kuwakuna mashabiki wao, sasa kuwalipia washindi wa kucheza style ya “Kikuku” Usafiri, Tiketi na Vinywaji kwenye show zao
Kijana Machachari wa Skylight Band Hashim Donode (kushoto) akilianzisha Taratibuuuu Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village akipewa Sapoti na Sony Masamba. Sasa mashabiki na wapenzi wa Skylight Band kila wiki wanashindanishwa kucheza staili yao matata ya “Kikuku na washindi hupewa ofa ya kulipiwa vinywaji, kiingilio na usafiri. Mwanzo ilikuwa Ijumaa iliyopita ambapo washindi walipewa ofa hiyo pamoja na kuhudhuria show yao kali iliyopigwa ndani ya Dar Live.
Meneja her self …Aneth Kushaba...