Wahitimu Veta waililia serikali
SERIKALI imeobwa kulegeza masharti ya upatikanaji wa leseni za kufungua kampuni ili kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi stadi (VETA). Ombi hilo limetolewa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziVIJANA WALIOFADHILIWA MASOMO YA UFUNDI VETA NA HELP FOR UNDERSERVED COMMUNITIES INC. (HUC) WAHITIMU
10 years ago
Dewji Blog12 Nov
Serikali yaonya ubadhilifu wa wahitimu
Wahitimu 1,808 wa fani mbalimbali wa vyuo vya uhasibu tawi la Mwanza na Singida, wakiwa kwenye maandamano ikiwa ni sehemu ya mahafali yao ya 12 yaliyofanyika mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
SERIKALI imeonya kwamba wahitimu wa ngazi mbalimbali za uhasibu na ugavi, haitawavumilia endapo watajihusisha na vitendo vya rushwa na ubadhilifu wa mali ya umma, kwa madai kwamba itawachukulia hatua kali za kisheria.
Aidha, imedai kwa sasa wataalamu wa nafasi hizo...
10 years ago
Bongo522 Nov
‘The Queen Latifah Show’ yasitishwa, mashabiki waililia
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Serikali kutoajiri wahitimu wa vyuo visivyosajiliwa
Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma,Celina Kombani, akizungumza kwenye mahafali ya 20 ya chuo cha uhazili Tanzania mjini Singida. Kombani aliwaasa wahitimu hao 4,960, kwamba wasiridhike na elimu waliyopata, bali waongeze bidii zaidi katika kujiendeleza.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAZIRI wa nchi ofisi ya rais, menejimenti ya utumishi wa umma, Celina Kombani,amesisitiza kwamba serikali haitaajiri wahitimu wo wote kutoka kwenye vyuo ambavyo havijasajiliwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9D-pkfgTUoI/VPwnAbhVSQI/AAAAAAAAqn0/YjiABC1CFas/s72-c/Untitled.png)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrgitixY1fXblQOEf0kNJ4I7szo0nOIUHM2o7TfXSwo7Cpgq8HSfI4fUI3FyoaAJDglRYkOCnOyzkHCYSDgmcut48/Untitled.png?width=650)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
9 years ago
MichuziSerikali yawahakikishia ajira wahitimu sekta ya maji
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Ni dhahiri Serikali haijalivalia njuga tatizo la wahitimu mbumbumbu
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Waziri Saada Mkuya awataka wahitimu mbalimbali nchini kujiajiri pasipo kuitegemea Serikali
Baadhi ya Wahitimu wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar wakiingia katika Viwanja vya Mahafali chuoni hapo.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Sita ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya akitoa hotuba kwa wahitimu hawapo pichani ambapo mewataka wajiajiri wenyewe badala ya kutegemea Serikali. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).
Baadhi ya Wahitimu wa Fani ya Upishi wakiwa wanamsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa...