Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahitimu Veta waililia serikali

SERIKALI imeobwa kulegeza masharti ya upatikanaji wa leseni za kufungua kampuni ili kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi stadi (VETA). Ombi hilo limetolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

VIJANA WALIOFADHILIWA MASOMO YA UFUNDI VETA NA HELP FOR UNDERSERVED COMMUNITIES INC. (HUC) WAHITIMU

 NI FURAHA TELE. Mwalimu wa kozi fupi wa Chuo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma (VETA) – Dar es Salaam, Bi. Bertha Ogwal, kushoto, akimkabidhi Bi. Jamila Mwenda, ripoti ya mahudhurio ya kozi ya awali ya usekretari/kompyuta, hivi karibuni. Jamila ni miongoni mwa vijana 11 toka mikoa mbalimbali nchini waliofadhiliwa masomo na shirika lisilo la kiserikali la Help for Underserved Communities Inc. (HUC), lenye makao yake Marekani, ambalo linayosaidia upatikanaji wa maji safi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yaonya ubadhilifu wa wahitimu

DSC02006

Wahitimu 1,808 wa fani mbalimbali wa vyuo vya uhasibu tawi la Mwanza na Singida, wakiwa kwenye maandamano ikiwa ni sehemu ya mahafali yao ya 12 yaliyofanyika mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

SERIKALI imeonya kwamba wahitimu wa ngazi mbalimbali za uhasibu na ugavi, haitawavumilia endapo watajihusisha na vitendo vya rushwa na ubadhilifu wa mali ya umma, kwa madai kwamba itawachukulia hatua kali za kisheria.

Aidha, imedai kwa sasa wataalamu wa nafasi hizo...

 

10 years ago

Bongo5

‘The Queen Latifah Show’ yasitishwa, mashabiki waililia

Baada ya misimu miwili kwenye televisheni, The Queen Latifah Show’ haitarejea tena. Kusitishwa kwa talk show hiyo iliyokuwa ikipendwa kulitangazwa jana kwa madai mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukosa watazamaji wapya. “Tunapenda kumshukuru Dana, watayarishaji na timu nzima ya The Queen Latifah Show kwa kutengeneza kipindi ambacho sote tulikuwa tukijivunia,” Sony Pictures Television waliandika kwenye […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali kutoajiri wahitimu wa vyuo visivyosajiliwa

DSC02227

Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Menejiment ya Utumishi wa Umma,Celina Kombani, akizungumza kwenye mahafali ya 20 ya chuo cha uhazili Tanzania mjini Singida. Kombani aliwaasa wahitimu hao 4,960, kwamba wasiridhike na elimu waliyopata, bali waongeze bidii zaidi katika kujiendeleza.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAZIRI wa nchi ofisi ya rais, menejimenti ya utumishi wa umma, Celina Kombani,amesisitiza kwamba serikali haitaajiri wahitimu wo wote kutoka kwenye vyuo ambavyo havijasajiliwa...

 

10 years ago

Michuzi

VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA) imekutana na wadau wa viwanda vya umeme na magari jijini Dar es Salaam kujadili utekelezaji wa mradi wa mafunzo yanayotolewa na VETA kwa kushirikiana na viwanda ujulikanao kama Dual Apprenticeship Training Project.
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...

 

10 years ago

GPL

VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA

Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ufundi Stadi-VETA Leah Lukindo akizungumza wakati akifungua rasmi warsha hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Giraffe-Dar esSalaam. Washiriki wa warsha hiyo ambao ni wadau wa viwanda vya umeme na magari wakisikiliza kwa makini hotuba ya mgeni rasmi.…

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yawahakikishia ajira wahitimu sekta ya maji

Serikali imesema kuwa ina taarifa ya wahitimu wa Taasisi ya Maendeleo ya Maji (WDMI),kukosa nafasi za ajira hivyo suala hilo limefanyiwakazi na serikali kwa kushirikiana na wadau wengine wa maji hivyo wawe na uhakika wa kuajiriwa na wasibweteke wakipata hizo fursa kwani hakutakuwa na nafasi kwa wazembe au wasiowajibika. Akizungumza wakati wa mahafali ya saba ya taasisi hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi, Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mbogo Mfutakamba alisema ukosefu wa ajira kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ni dhahiri Serikali haijalivalia njuga tatizo la wahitimu mbumbumbu

Imani ya Watanzania wengi ni kuwa Serikali, kupitia vyombo vunavyosimamia sekta ya elimu, imekuwa ikijipanga vilivyo kuondoa madudu mbalimbali yanayoitia doa sekta hiyo mama.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Saada Mkuya awataka wahitimu mbalimbali nchini kujiajiri pasipo kuitegemea Serikali

01

Baadhi ya Wahitimu wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar wakiingia katika Viwanja vya Mahafali chuoni hapo.

02

Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Sita ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya akitoa hotuba kwa wahitimu hawapo pichani ambapo mewataka wajiajiri wenyewe badala ya kutegemea Serikali. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

03

Baadhi ya Wahitimu wa Fani ya Upishi wakiwa wanamsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani