Serikali yaonya ubadhilifu wa wahitimu
Wahitimu 1,808 wa fani mbalimbali wa vyuo vya uhasibu tawi la Mwanza na Singida, wakiwa kwenye maandamano ikiwa ni sehemu ya mahafali yao ya 12 yaliyofanyika mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
SERIKALI imeonya kwamba wahitimu wa ngazi mbalimbali za uhasibu na ugavi, haitawavumilia endapo watajihusisha na vitendo vya rushwa na ubadhilifu wa mali ya umma, kwa madai kwamba itawachukulia hatua kali za kisheria.
Aidha, imedai kwa sasa wataalamu wa nafasi hizo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSERIKALI INA DHAMIRA YA DHATI KUONDOA UZEMBE NA UBADHILIFU MIONGONI MWA WATUMISHI-MHE HASUNGA
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Serikali yaonya wanaotorosha madini
Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya Tanzanite One, Hussein Gonga akiwa anamuonyesha Waziri wa Nishati na Madini, Mh. George Simbachawene madini ambayo yanachimbwa na kampuni yao. (Habari picha kwa hisani ya woindeshizza blog).
Na Woinde Shizza, Arusha
Serikali imewataka wachimbaji na wanunuzi wa madini ya Tanzanite nchini, kuacha tabia ya Utoroshaji wa madini hayo nje ya nchi huku,ikiagizwa kuachwa kuuzwa madini ghafi.
Katika kudhibiti biashara hiyo, serikali kwa kushirikiana na kituo cha...
10 years ago
Habarileo14 Nov
Serikali yaonya wawekezaji feki
SERIKALI imeyaonya baadhi ya kampuni yenye nia ya kuja nchini kwa ajili ya uwekezaji katika sekta ya nishati, kuhakikisha hayashbikii vitendo vya rushwa.
10 years ago
Habarileo21 Dec
Serikali yaonya daftari la wapigakura
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) William Lukuvi, ameonesha kutoridhishwa na utaratibu mbovu unaotumika kuandikisha wananchi katika daftari la kudumu la wapiga kura, kutokana na kuwa na mianya inayoweza kuingiza wasio raia wa Tanzania.
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Serikali yaonya uuzaji pembejeo ‘feki’
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa onyo kwa mawakala wa pembejeo za kilimo na mifugo wanaotumia fursa hiyo kuchakachua kuelekea msimu wa kilimo. Tabia hiyo ya uchakachuaji wa pembejeo...
10 years ago
Habarileo02 Dec
Serikali yaonya siasa za kihuni, vurugu
VYAMA vya siasa nchini vimetakiwa kuendesha siasa za kistaarabu na kutokuwa vyanzo vya vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo kwenye baadhi ya maeneo nchini viongozi wameripotiwa kutekwa wakati wakirejesha fomu huku maeneo mengine watu wakitajwa kuzuia uandikishaji wa wapiga kura.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Serikali ya Tanzania yaonya kuhusu ugaidi
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Serikali yaonya wanaonyanyasa wanafunzi albino
SERIKALI imetoa wito kwa walimu na wadau wote wa elimu kwamba ni marufuku kuwanyanyasa watoto wenye ulemavu, hasa wenye ulemavu wa ngozi (albino) wanapokuwa shuleni. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana...
11 years ago
Habarileo11 Mar
Serikali yaonya wauguzi kwa lugha mbaya
SERIKALI imewataka wauguzi nchini kuacha kutoa lugha mbaya kwa wananchi. Badala yake, wametakiwa kuboresha utoaji wa huduma za afya na kuwa wepesi wa kusahihisha mapungufu ili kuhakikisha huduma sahihi zinatolewa.