TIBA YA MTU MNENE KUPINDUKIA

Na Dk Mandai A. Simu 0717961795, 0754391743 WIKI iliyopita nilieleza magonjwa yanayowapata watu wanene kupindukia leo nieleze tiba inayofaa kwa wenye tatizo hilo. Sasa tuelezee ni namna gani tunaweza kutibu au kupunguza unene uliopita kiasi, swali ambalo ninajua linaulizwa na wengi. Tunapaswa kujua kuwa, tiba ya tatizo hili kwanza kabisa ni mhusika kujitambua ya kwamba ana tatizo, kulikubali na kuwa tayari kupunguza uzito....
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Je kuwa mnene kupindukia kunaweza kuongeza hatari ?
9 years ago
MillardAyo27 Dec
RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake
Unakumbuka au umwahi kusikia zile headlines za mtu mnene kuliko wote duniani, basi imenifikia stori yake mpya japokuwa sio njema mtu wangu. Andres Moreno jamaa ambaye anashikilia rekodi ya kuwa mtu mnene duniani amefariki dunia December 25 siku ya sikukuu ya Chrismass. Stori kutoka indianexpress.com zinaeleza Andres Moreno ambaye alikuwa anatajwa kuwa na uzito wa Kilogram […]
The post RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi damu ya mtu aliyepona corona inavyoweza kuwa tiba
10 years ago
Mtanzania30 Jan
Wizi wa kupindukia
TAARIFA ya mwaka ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), ya hesabu zilizokaguliwa za Serikali Kuu na mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 30, 2013, imebua wizi wa kutisha wa fedha za umma uliofanywa na taasisi hizo.
Hayo yalibainika jana wakati Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe, alipokuwa akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo, ambapo alisema katika ripoti za ukaguzi kwa Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL), imebainika kuwa ililipa mabilioni ya fedha kwa ajili ya...
11 years ago
GPL
JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA
10 years ago
GPL
JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA-2
10 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Unene kupindukia katika nchi zinazostawi
11 years ago
GPL
KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA KWA UPASUAJI