Wizi wa kupindukia
TAARIFA ya mwaka ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), ya hesabu zilizokaguliwa za Serikali Kuu na mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 30, 2013, imebua wizi wa kutisha wa fedha za umma uliofanywa na taasisi hizo.
Hayo yalibainika jana wakati Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe, alipokuwa akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo, ambapo alisema katika ripoti za ukaguzi kwa Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL), imebainika kuwa ililipa mabilioni ya fedha kwa ajili ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA-2
11 years ago
GPL
JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA
11 years ago
GPL
TIBA YA MTU MNENE KUPINDUKIA
11 years ago
GPL
KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA KWA UPASUAJI
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Unene kupindukia katika nchi zinazostawi
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Je kuwa mnene kupindukia kunaweza kuongeza hatari ?
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Aliyekuwa Bingwa wa Olimpiki Wilfred Bungei asema kushinda kwake vita ya unywaji wa pombe kupindukia kutatoa mwanga wa matumaini kwa wengine