TIBANYENDERA (MISA-TAN): TUNALAANI UKATILI MAOVU WANAYOFANYIWA WAANDISHI WA HABARI
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC_00851.jpg)
Picha juu na chini ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (MISA-TAN), Bw. Mohamed Tibanyendera (wa pili kushoto) akizungumza jijini Dar es Salaam jana kuhusiana maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari yatakayofanyika wiki hii duniani kote. Kushoto ni Meneja wa Maadili na Usuluhishi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Allan Lawa, Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
“Tunalaani ukatili maovu wanayofanyiwa waandishi wa habari.” — Tibanyendera (MISA-TAN)
Picha juu na chini ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (MISA-TAN), Bw. Mohamed Tibanyendera (wa pili kushoto) akizungumza jijini Dar es Salaam jana kuhusiana maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari yatakayofanyika wiki hii duniani kote. Kushoto ni Meneja wa Maadili na Usuluhishi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Allan Lawa, Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama (wa pili kulia)...
11 years ago
Michuzi28 Apr
“TUNALAANI UKATILI MAOVU WANAYOFANYIWA WAANDISHI WA HABARI.” - TIBANYENDERA (MISA-TAN)
![DSC_0085](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC_00851.jpg)
Picha juu na chini ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (MISA-TAN), Bw. Mohamed Tibanyendera (wa pili kushoto) akizungumza jijini Dar es Salaam jana kuhusiana maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari yatakayofanyika wiki hii duniani kote. Kushoto ni Meneja wa Maadili na Usuluhishi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Allan Lawa, Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama (wa pili kulia) na Makamu...
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...
11 years ago
GPLWARSHA YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UANDISHI WA HABARI ZA KITAKWIMU YAFANYIKA MKOANI MOROGORO
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
Simon Berege aula uenyekiti MISA-TAN
Mjumbe wa Kamati ya utendaji MISA -TAN, Lilian Lucas Kasenene akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (MISA-TAN), Simon Berege.
Na Nathaniel Limu
Mkutano mkuu wa uchaguzi wa Chama cha waandishi wa habari kusini mwa Afrika (MISA-TANZANIA), umemchagua kwa kishindo Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Iringa, Simon Berege kuwa mwenyekiti wake kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.
Berege ambaye alikuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo, alizoa kura zote...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_5808.jpg)
TAMWA YAWAPONGEZA WANAHABARI UANDISHI HABARI ZA UKATILI WA KIJINSIA
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0017.jpg)
WAANDISHI WA HABARI MSIKUBALI KUTUMIWA, UNGANENI
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_28351.jpg)
FASTJET YAFADHILI ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0540.jpg)
WAANDISHI WA HABARI WAASWA KUSHIRIKIANA NA TMF ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI WA MATANGAZO