Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tido Mhando:mchaka mchaka

Miaka mingi sana imepita tangu Tido Mhando atimize ndoto yake ya kufanya kazi aliyoihusudu, kazi ya utangazaji redioni. Kwa miaka zaidi ya 45, akiwa kwenye kazi hii iliyompatia umaarufu mkubwa, aliweza kuona na kufanya mengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando :Mchaka mchaka wa kazi

Baada ya kukaa Kenya kwa zaidi ya miaka mitano, nikiwa nimewasili huko mwaka 1980, nilianza kwa mara nyingine tena kupata fikara za kubadilisha kazi ili angalau niweze kupata upeo wa juu zaidi katika fani ya utangazaji.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA APOKELEWA KWA MCHAKA MCHAKA JIMBO LA DONGE ZANZIBAR


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa kwa mchakamchaka na vijana wa Jimbo la Donge wakiongozwa na Mbunge wa jimbo lao Sadifa Hamis Juma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Taifa.(picha na Adam Mzee)
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasili Jimbo la Donge wakiongozwa na Mbunge wa jimbo lao Sadifa Hamis Juma ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Taifa na vijana wa jimbo hilo ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

MCHAKA MCHAKA WA LOWASSA WATINGA MANYARA LEO, APATA UDHAMINI WA WANACCM 42, 405

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Edward Lowassa akizungumza wakati akiwashukuru wanaCCM wa Mkoa wa Manyara, waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Lowassa amepata wadhamini 42, 405 , Mjini Babati Mkoani Manyara leo, Juni 25, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Edward Lowassa akipokea fomu ya udhamini...

 

11 years ago

Michuzi

MCHAKA MCHAKA WA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI WAENDELEA

 Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo akiongea kwa njia na mmoja wa washindi wa droo ya sita ya promosheni ya Winda Safari ya Brazili na Serengeti inayoendeshwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti huku akishuhudiwa na Afisa Mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Bakari Maggid wakati wa  kuchezesha droo hiyo mapema leo katika ofisi za Kiwanda cha Bia cha Serengeti jijini Dar es Salaam.  Meneja wa Bia ya Serengeti Rodney Rugambo aeleza jambo kwa wana habari(hawapo pichani)  wakati wa...

 

11 years ago

CloudsFM

Brand New Song: Country Boy Ft. Blue Mchaka Mchaka

Hii ni ngoma nyingine mpya kutoka kwa Country Boy inaitwa Mchaka Mchaka, ngoma imefanyika chini ya producer Messen Selekta, Blue ameisimamia vya kutosha chorus ya ngoma hii…
unaweza kuiskiliza kwakubonyeza play

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mbio za sakafuni

Kwenye hii safu yake ya kila Jumapili, Tido Mhando anasimulia kwa muhtasari tu, mengi aliyokutana nayo kwenye kazi ya utangazaji wa redio aliyoifanya kwa zaidi ya miaka 40.

 

10 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Ziara ya Kinshasa

Kwa muda wa karibu miaka miwili sasa, mwandishi wa habari wa muda mrefu, Tido Mhando, amekuwa akiandika simulizi zake hizi kutokana na mengi aliyokutana nayo katika kipindi kirefu cha kufanya kazi hii, hasa kama mtangazaji wa redio.

 

10 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mambo ya wakubwa

Kwenye simulizi zake za kila Jumapili, Mwanahabari wa siku nyingi, hasa kwenye fani ya utangazaji, Tido Mhando anasimulia kwa ufupi mengi aliyokutana nayo kwenye kipindi chake cha miaka 45 kazini.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando aaga Mwananchi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando amewaaga wafanyakazi wa kampuni hiyo baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili na nusu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani