Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tiketi za ndege ziliwekewa ‘cha juu’ mara 16 serikalini

>Tuhuma nzito za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka zimezidi kuibuliwa katika ofisi nyeti za Serikali, ikiwamo ya tiketi za ndege kuuzwa kwa bei kubwa mara 16 zaidi ya nauli halisi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka, akiteta jambo na Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu(United Arab Emirate) nchini Tanzania, Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, kabla ya Uzinduzi wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana. Magari ya Zimamoto yakimwaga maji kuashiria uzinduzi na ukaribisho wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mshumaa katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama ishara ya Kumbukumbu wakati alipofika katika Jumba la makumbusho Butiama mkoani Mara leo Sept 15, 2015 baadda ya kuadhimisha Kilele cha Siku ya Mara (Mara Day) iliyofanyika Butiama.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Shada la Maua katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa...

 

9 years ago

Michuzi

DKT KIGWANGALLA ATOA USHAURI WAKE JUU YA UDHIBITI WA MADAWA SERIKALINI


Dkt Hamisi Kigwangalla Mbunge Mteule Nzega Vijijini CCM.

MBUNGE mteule jimbo la Nzega vijijini  Dkt Hamisi Kigwangalla  (CCM) ametoa ushauri kwa wizara husika juu ya udhibiti wa kuvuja kwa madawa serikalini na kwenda kwenye maduka binafsi.
Kupitia ukarasa wake facebook Kigwangalla amesema #‎Sasa Kazi Tu Changamoto ya Udhibiti wa Kuvuja Madawa Kutoka Mfumo wa Serikali Kwenda Kwenye Maduka ya Watu Binafsi ni Katika Mambo ambayo mgombea Urais wa CCM, Ndg. John Pombe Magufuli alionesha kuwa...

 

9 years ago

GPL

IYANYA: TIKETI YA KCEE NDIYO ILINIFIKISHA LAGOS KWA MARA YA KWANZA

Iyanya akiwa na Kcee. Lagos Nigeria SI watu wengi wanafahamu kwamba safari ya kwanza ya Iyanya Onoyom Mbuk, kiongozi wa kundi la Made Men Music Group (Triple MG) kwenda jijini Lagos iligharimiwa na Kingsley Chinweike Okonkwo, ambaye anafahamika zaidi kama KCee. Mwimbaji huyo maarufu kwa kibao cha ‘Limpopo', ndiye aliyemleta Iyanya jijini Lagos kutoka Calabar, Jimbo la Cross River. Iyanya alifichua hilo wakati wa kuzindua...

 

11 years ago

Mtanzania

Bunge la Katiba: Mjumbe ataka atumiwe tiketi ya ndege Marekani

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Na Fredy Azzah, Dodoma

MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba, amesema mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba hadi sasa hajahudhuria vikao vya Bunge hilo kwa vile aliteuliwa akiwa Marekani.

Amesema mjumbe huyo pia amekuwa akiitaka Ofisi ya Bunge la Katiba imtumie tiketi ya ndege aweze kuhudhuria vikao hivyo vinavyoendelea mjini Dodoma.

Kibamba akizungumza na waandishi wa habari Dodoma jana, alisema tathmini ya wiki...

 

10 years ago

Bongo5

Mamia wafurika kuangalia #Furious7 kwa mara ya kwanza kwenye majumba ya sinema Dar tiketi zaisha

Filamu ya Fast & Furious 7 imezinduliwa leo April 3 duniani kote. Tanzania ni moja ya nchi zilizoionesha filamu hiyo kwa mara ya kwanza. Hamu kubwa ya mashabiki wa filamu nchini, imeyafanya majumba ya sinema jijini Dar es Salaam kuuza tiketi nyingi kuliko kawaida. Meneja wa Century Cinemax iliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam, […]

 

10 years ago

Michuzi

Zenith Tour na Travelport watoa mafunzo ya Utumiaji wa Eletronic ya huduma ya ukataji wa tiketi za ndege,Zanzibar

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Zenith Tour Ndg Salim, akizungumza wakati wa mahafali hayo ya Vijana 18 waliohitimu mafunzo ya huduma ya kieletronic ya huduma ya ukataji wa tiketi za ndege yanayotolewa na Travelport kwa kushirikiana na kampuni ya Zenith Tour ya Zanzibar.Meneja Masoko wa Kampuni ya Travelport Tanzania Bi Margret Lislie, akizungumza wakati wa hafla ya Mahafali ya tatu ya Chuo cha Travelport yaliofanyika katika ukumbi wa chuo hicho kilichopo katika jengo la Zanlik majestic...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA TRAVELPORT YAZINDUA MFUMO MPYA UTAKAOWAWEZESHA MAWAKALA WA NDEGE KUUZA TIKETI KIURAHISI ZAIDI

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Travelport Tanzania,Eliasaph Mathew akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mfumo (System) mpya wa uuzaji wa tiketi za ndege uitwao Precise Sky utakaotumiwa na Mawakala wa Uuzaji wa tiketi za ndege nchini (Travel Agents)  uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Golden Jubilee Tower, jijini Dar es salaam.Mgeni Rasmi katika hafla hiyo ya uzinduzi wa Mfumo (System) mpya wa uuzaji wa tiketi za ndege uitwao Precise Sky,Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya...

 

10 years ago

Michuzi

timu ya wataalam kutoka wizara ya uchukuzi watembelea kituo cha uongozaji ndege Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere (JNIA)

Meneja wa Kitengo cha taarifa za Usalama wa Usafiri wa Anga, Bw. Deodore Mushi akitoa maelezo ya namna ya mashine mbalimbali zinazotumika katika chumba maalum cha kutolea taarifa za usafiri wa Anga zinavyofanya kazi, kwa wataalam kutoka Wizara ya Uchukuzi, waliotembelea katika ofisi hizo leo asubuhi kufanya tathimini ya utoaji wa huduma katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA). Wa Kwanza kulia ni Afisa Usafirishaji kutoka Wizara ya Uchukuzi, Bw. Biseko Chiganga (aliyevaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani