TMA: Mvua kuendelea kunyesha hadi Aprili
Siku chache baada ya mafuriko makubwa kutokea katika eneo la Dumila mkoani Morogoro na kusababisha watu kupoteza makazi na mali mbalimbali, Idara ya Hali ya Hewa(TMA),imesema mvua hizo zitaendelea hadi Aprili mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uU5B2aivacU/Xph-3OhbB_I/AAAAAAALnMg/OeGc1lpEbVQu3mOS3hX_5HcPOqHl_OzhACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TMA YATOA TAHADHARI YA KUNYESHA MVUA KUBWA KWA SIKU NNE MFULULIZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uU5B2aivacU/Xph-3OhbB_I/AAAAAAALnMg/OeGc1lpEbVQu3mOS3hX_5HcPOqHl_OzhACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), imetoa tahadhari ya kunyesha kwa Mvua kubwa ndani ya siku nne kuanzia kesho Aprili 17, 2020.
Tahadhari hiyo imetolewa leo Alhamisi Aprili 16, 2020 jijini Dar es Salaam na Meneja wa Kituo Kikuu cha Utabiri wa Mamlaka hiyo, Samwel Mbuya ambae amesema amesema mvua hiyo ya siku nne inatarajia kunyesha kuanzia ya April 17 hadi 20 mwaka huu.
Aidha ametaja maeneo yanayotarajia kupata vipindi vya mvua kubwa ni pamoja na Mkoa wa...
9 years ago
Habarileo19 Dec
TMA: El-Nino kuendelea mpaka Aprili mwakani
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA), imeendelea kutoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi mikoa ya Kanda za Ziwa, Kusini na Pwani, kwamba mvua za Vuli zitakazofikia ukubwa wa El-Nino, zinatarajiwa kuendelea kunyesha mpaka Aprili mwakani.
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mvua kubwa kunyesha siku 3
MVUA kubwa ya vipindi inayozidi milimeta 50 ndani ya saa 24, inatarajiwa kunyesha kwa siku tatu mfululizo hadi kesho. Hadhari hiyo iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agnes Kijazi kuwa tahadhari hiyo inaanzia Machi 5 hadi kesho.
10 years ago
Vijimambo31 Dec
TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2574130/highRes/911159/-/maxw/600/-/pxc51bz/-/kimbunga_mvua.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP7nyQCP5ViQEoNvBfpiQ-q64BtLVdXBIERrR5mt3G5d9RtsrsR0AMfDAlgs*RlzL5b3CeMueoFFOV5PhRDSJu56/Mafurikodar2.jpg)
ATAHARI YA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DAR NA PWANI
11 years ago
Habarileo03 Feb
Wauawa kwa tuhuma ya kuzuia mvua kunyesha
WATU wawili wa familia moja wameuawa wilayani Maswa mkoani Simiyu, kwa kupigwa na wananchi waliojichukulia sheria mikononi, wakiwatuhumu kuzuia mvua kunyesha hivyo kusababisha ukame kwenye eneo lao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sOmuYu1xAow/XmZGuz5e01I/AAAAAAALiQw/0ynG0rD90OwSARPGL9Nn-1IrtOM8-QQBgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B14.07.01.jpeg)
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAENDELEA KULETA ATHARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sOmuYu1xAow/XmZGuz5e01I/AAAAAAALiQw/0ynG0rD90OwSARPGL9Nn-1IrtOM8-QQBgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B14.07.01.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXV4BJM6YuI/XmZGunSaD7I/AAAAAAALiQs/UJ9z79uYn40boNwFY8HS24Ffh4DeHVx_ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B14.07.02.jpeg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/nTNS49U-yb8/default.jpg)