Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tohara imekuwa shida mikoa yenye maambukizi makubwa

WANAUME katika mikoa yenye kiwango kikubwa cha maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) wameelezwa kuwa na mwitikio mdogo katika kukubali kufanyiwa tohara kwa hiyari.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tohara inapunguza maambukizi ya VVU

TAFITI kutoka nchi nyingi duniani zimebaini kwamba tohara kwa wanaume inapunguza maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa asilimia 60 kwa wanaume na asilimia 44 kwa wanawake. Pia imebaini kwamba...

 

11 years ago

Mwananchi

Umeme ni shida, Uchunguzi wabaini mikoa mingi iko kwenye hali tete

Wakati Naibu Waziri wa Nishati na Madini na Tanesco wakikanusha kuwepo kwa mgawo wa umeme, imebainika kuwa sehemu kubwa ya nchi imekosa umeme kwa siku kadhaa, likiwemo Jiji la Dar es salaam.

 

9 years ago

StarTV

Mikoa yenye kibali yaombwa kuyachukua Mrundikano Wa Mahindi Ruvuma  

 

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu ameiomba mikoa ambayo imepata kibali cha kuchukua Mahindi katika Hifadhi ya Chakula NFRA mkoani humo waende haraka ili kupunguza mrundikano wa zao hilo.

Mwambungu amesema Hifadhi ya Chakula ya Mkoa wa Ruvuma ina tani zaidi ya laki moja ambazo zinahofiwa kuharibika kutokana na mvua zanazokuja.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu amesema kutokana na Mlundikano uliopo wa Mahindi katika ghala la kuhifadhia mahindi NFRA kuwa mengi. Mkuu wa...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA SEED CO KUZAWADIA WANAFUNZI MADAWATI 100 YENYE THAMANI YA MIL 15 KATIKA SHINDANO LA MASHAMBA DARASA MIKOA YA KANDA YA ZIWA.

Kampuni ya Seed Co Tz Ltd imezindua rasmi shindano la mashamba darasa kwa shule za Msingi Tanzania ambapo shule itakayokuwa imelima shamba zuri kwa kuzingatia misingi yote ya kilimo bora cha kisasa itajishindia zawadi kubwa ya madawati 100 yenye thamani ya shilingi milioni 15 za Kitanzania. Tunaposema kulima kwa kuzingatia misingi ya kilimo bora cha kisasa ni pamoja na matumizi ya mbegu bora, mbolea za kupandia na kukuzia na uhifadhi bora wa mazao baada ya kuvuna. Shindano hili ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti yetu imekuwa ya mazoea mno

Zamani siku kama ya leo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu sana kwa kuwa ni siku ambayo wananchi walisikia mengi kuhusu bei za bidhaa na vitu vingine vinavyotoa mwelekeo wa maisha ya kila siku.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sera ya Kilimo Kwanza imekuwa kitendawili

TANGU Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961 kuna sera mbalimbali za kilimo zimekuwa zikitolewa ili kukiendeleza na hatimaye kuondoa umaskini kwa Watanzania. Miongoni mwa sera hizo ni Siasa ni Kilimo, Kilimo...

 

10 years ago

Mwananchi

Hii sasa imekuwa nchi ya dharura

>Wakati tukiwa shule ya msingi, tulisikia kila mara wakubwa zetu wakimtaja Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa jina la Musa. Walielezea kuwa jina hilo lilitokana hasa na jinsi Raisn huyo wa Serikali ya Awamu ya Kwanza alivyozoea kushika fimbo kila alipoonekana hadharani.

 

10 years ago

GPL

NALE: KUDANGANYA UMRI IMEKUWA FASHENI

Makala: SHANI RAMADHANI
KATIKA Live Chumba cha Habari cha Global Publishers, leo hii tunaye Miss Universe 2014, Nale Boniface ambaye ameweka wazi siri ya urembo na kusema kuwa kujiamini ni sifa mojawapo ya kumfanya mtu aitangaze vizuri nchi yake. Presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa akiongea na mwakilishi wa Miss Universe Tanzania 2014,… ...

 

10 years ago

GPL

ASILIMIA 100 YA TANZANIA SASA IMEKUWA NI DIJITALI

 Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa Televisheni kwa mfumo wa Analojia kwenda Dijitali ambapo asilimia 100 ya nchi sasa imekuwa Dijitali. Kulia ni Ofisa Mawasiliano Mkuu wa TCRA, Semu Mwakyanjala na Ofisa wa Masafa, Christopher Asenga. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani