Mikoa yenye kibali yaombwa kuyachukua Mrundikano Wa Mahindi Ruvuma Â
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu ameiomba mikoa ambayo imepata kibali cha kuchukua Mahindi katika Hifadhi ya Chakula NFRA mkoani humo waende haraka ili kupunguza mrundikano wa zao hilo.
Mwambungu amesema Hifadhi ya Chakula ya Mkoa wa Ruvuma ina tani zaidi ya laki moja ambazo zinahofiwa kuharibika kutokana na mvua zanazokuja.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu amesema kutokana na Mlundikano uliopo wa Mahindi katika ghala la kuhifadhia mahindi NFRA kuwa mengi. Mkuu wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 May
Mahindi yenye uwezo wa kumkuza mtoto kiakili
10 years ago
Michuzi
BI. SAMIA SULUHU AHAIDI UMEME KILA KIJIJI RUVUMA, VIWANDA VYA MAHINDI NA KAHAWA

Bi. Samia Suluhu ambaye amehutubia mikutano mitatu katika majimbo mawili ya mkoa...
10 years ago
Vijimambo
BI. SAMIA SULUHU AHAIDI UMEME KILA KIJIJI RUVUMA, VIWANDA VYA MAHINDI, KAHAWA

Bi. Samia Suluhu ambaye amehutubia mikutano mitatu katika majimbo mawili ya mkoa...
10 years ago
Habarileo30 Nov
Tohara imekuwa shida mikoa yenye maambukizi makubwa
WANAUME katika mikoa yenye kiwango kikubwa cha maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) wameelezwa kuwa na mwitikio mdogo katika kukubali kufanyiwa tohara kwa hiyari.
11 years ago
Michuzi
MIRADI MIKUBWA YA BARABARA KATIKA MIKOA YA RUVUMA NA MTWARA KUSAINIWA KESHO

10 years ago
Michuzi
mpango wa kugawia wanafunzi vyandarua bure waanza mikoa la lindi, mtwara na ruvuma



10 years ago
Michuzi14 Aug
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI



10 years ago
GPL
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KATIKA MIKOA YA MTWARA, RUVUMA, NJOMBE NA MBEYA KUKAGUA MIRADI
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi