Touch Me ya AY yapata ‘green light’ kuchezwa Jamaica, Marekani soon
AY amesema wimbo wake Touch Me aliomshirikisha Sean Kingston unaendelea kufanya vizuri Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla na hivi karibuni utaanza kuchezwa Jamaica. AY ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo amepata rotation inayostahili na anaamini utaendelea kufanya vizuri zaidi. “Wimbo unapata rotation kubwa sana. Umeingia kwenye chart kubwa mbalimbali,” amesema AY. “Unajua watu wangesema huu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC10 years ago
TheCitizen28 May
10-day Bunge extension gets the green light
11 years ago
TheCitizen31 Jan
EAC waits for green light to expend $2m
10 years ago
Daily News13 Nov
Court gives Bukoba green light to hold meetings
Court gives Bukoba green light to hold meetings
Daily News
THE Bukoba Resident Magistrate's Court on Tuesday allowed the Bukoba Municipal Council to proceed with holding of normal councillors' sessions to spearhead development. In his ruling, Bukoba Resident Magistrate, Samwel Mawenda noted that a case ...
5 years ago
Digital Trends09 Mar
Crops in space: ISS-grown lettuce given the green light
5 years ago
Irish Mirror13 Feb
Man Utd 'get the green light' to complete £60million transfer for Moussa Dembele
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Muziki wa Afrika kuchezwa Marekani leo
ZIARA ya muziki ya mwimbaji wa Afro Pop kutoka Marekani, Wicks Davis ‘Antique’ nchini Marekani inatarajiwa kuonyesha ubora na vionjo vya muziki wa Afrika aliouandaa baada ya ziara yake ya kimataifa za kimuziki katika nchi hizo.
“Katika ziara yangu hiyo ya ‘The Remember Tour’ nitakuwa nikipiga muziki nilioutengeneza kutokana na ubora na vionjo vya muziki wa Afrika,’’ alisema Antique, alipozungumza na Mtanzania akitokea Marekani.
Onyesho la kwanza linafanyika leo katika ukumbi wa makumbusho...
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
10 years ago
Vijimambo16 Jun
MSIBA NEW YORK NA JAMAICA
Wanaoweza kwenda kumpa pole Tino...Address ni...40 East Sidney Avenue Apt# 10-C, Mount Vernon, NY 10550... (914) 652-3162..Diana - (914) 290-8170....Atakuwa posted nyumbani Jumanne, June 16, 2015, Jumatano June 17, 2015 na Jumapili June 21, 2015....MWENYEZI MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA...