Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaransa 8-0 Jamaica

Ufaransa yaifunza soka Jamaica ilipoilaza mabao 8-0.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ufaransa yaichakaza Jamaica

Matuidi na Benzema walifunga tena katika kipindi cha pili, wakati Giroud na Antoine Griezmann wakiongeza ushindi huo kufikia mabao manane.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA NEW YORK NA JAMAICA

 Familia ya Diana na Tino Taylor wanasikitika kutangaza kifo cha Mzee Taylor, baba  mzazi wa Tino, baba mkwe wa Diana Taylor na Doris Rweyemamu, kilichotokea Jumatatu, June 15, 2015, huko Jamaica. 
Wanaoweza kwenda kumpa pole Tino...Address ni...40 East Sidney Avenue Apt# 10-C, Mount Vernon, NY 10550... (914) 652-3162..Diana - (914) 290-8170....Atakuwa posted nyumbani Jumanne, June 16, 2015, Jumatano June 17, 2015 na Jumapili June 21, 2015....MWENYEZI MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bolt aisaidia Jamaica kufuzu

Bingwa wa mbio za mita 100 duniani Usain Bolt amelisadia taifa lake la Jamaica kufuzu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bangi halali kwa matibabu Jamaica

Baraza la mwaziri la Jamaica, limeidhinisha mswada ambao unahalalisha watu kumiliki kiwango kidogo cha Marijuana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jamaica kulegeza sheria kuhusu Marijuana

Serikali ya Jamaica inatafakari upya mpango wa kufanyia mageuzi sheria zake za kukabiliana na matumizi ya dawa za kulevya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Usain Bolt aisaidia Jamaica kuwika

Bingwa wa michezo ya olimpiki Usain Bolt ameiongoza Jamaica kupata ushindi.

 

10 years ago

Bongo5

Clouds Media International yafungua ofisi Jamaica

Clouds media International yenye makao yake makuu Abu Dhabi, imefungua ofisi mpya huko Kingston Jamaica zitakazohudumia ukanda wa Caribbean na kufungua fursa za kibiashara kwa kampuni tanzu za Clouds Media. Ufunguzi wa ofisi mpya nchini Jamaica unakuja ikiwa hata mwaka mmoja haujapita toka Clouds Media International ilipofungua ofisi zake Abu Dhabi. Mkurugenzi mtendajib wa Clouds […]

 

9 years ago

Bongo5

Mwimbaji wa Jamaica, Alaine aisifia ‘Never Ever’ ya Vanessa Mdee

Alaine TZ

Inatia moyo kuona jinsi muziki Bongo unavyozidi kupenya kwenye masikio ya mashabiki wa nje wakiwemo mastaa, hii ni kutokana na jitihada zinazofanywa na wasanii wa Tanzania wanaowekeza kufanya muziki mzuri na video kali.

Alaine TZ
Alaine alipotua Tanzania 2013

Baada ya mtangazaji maarufu wa Afrika Kusini, Bonang Matheba kuonesha kuukubali wimbo mpya wa Joh Makini aliomshirikisha AKA wa Afrika Kusini ‘Don’t Bother’ kwenye post ya AKA Instagram, mwimbaji mwingine wa Reggae kutoka Jamaica aliyewahi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani