TPDC yaanza utafiti mpya wa mafuta na gesi Eyasi
SHIRIKA la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC) leo linatarajiwa kuanza utafiti wa awali wa mafuta na gesi kwa kutumia ndege katika eneo la kitalu cha Eyasi, Wembere na Mandawa . Utafiti huu wa awali, unatajwa kwamba utafanyika pia katika mikoa ya Arusha, Singida, Simiyu, Tabora na Lindi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kzUCb3C_nXY/VkmOYuDS_mI/AAAAAAAIGIs/SVqkgk3btrg/s72-c/1.jpg)
TPDC kuendesha utafiti wa mafuta na gesi kwa ndege
![](http://2.bp.blogspot.com/-kzUCb3C_nXY/VkmOYuDS_mI/AAAAAAAIGIs/SVqkgk3btrg/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xcuuqUANnn4/VkmOYvXeVrI/AAAAAAAIGIo/bJvMzV7Cgcc/s640/2.jpg)
9 years ago
Habarileo16 Nov
TPDC kuanza utafiti mafuta, gesi wiki hii
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), wiki hii litaanza utafiti wa awali wa mafuta na gesi nchini kwa kutumia ndege katika eneo la kitalu cha Ziwa Tanganyika Kaskazini.
9 years ago
StarTV23 Nov
Mafuta Kitalu Cha Eyasi Wembere  Serikali kutumia Sh. Mil. 14 kwa utafiti
Serikali imekusudia kutumia kiasi cha shilingi milioni 14 kufanikisha utafiti wa awali wa mafuta katika eneo la kitalu cha Eyasi Wembere kwenye mikoa ya Arusha, Singida, Shinyanga, Simiyu, Tabora na baadae Mandawa mkoani Lindi.
Tayari utafiti huo utaanza Novovemba 23 mwaka huu chini ya shirika la ndege Kampuni ya C-GG kutoka nchini Canada linalojihusisha na mambo ya utafiti wa mafuta na gesi.
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania TPDC Dr. James Mataragio wakati...
10 years ago
MichuziTPDC YAANZA UTAFITI TANGA
10 years ago
MichuziTPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo
BOFYA HAPA KWA PICHA...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3Ya9Oz7YINA/VdXdhvQ8KsI/AAAAAAAHym8/THXT4kUpxHE/s72-c/No.1.jpg)
TPDC YAANZA KUZALISHA GESI YA KWANZA HUKO MNAZI BAY, MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Ya9Oz7YINA/VdXdhvQ8KsI/AAAAAAAHym8/THXT4kUpxHE/s400/No.1.jpg)
Zoezi hili ni muendelezo wa ukamilishaji wa mradi mkubwa wa Serikali wa kuzalisha gesi asilia kwa madhumuni ya kuzalisha umeme hapa nchini.
Akiongea wakati wa zoezi hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8EMnpoABT4A/VCE_EWuYWcI/AAAAAAAGlRo/8ATazVO-8ig/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-09-23%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Repoa yaanza utafiti wa gesi
TAASISI ya Utafiti na Kupunguza Umaskini nchini (Repoa) imeanza utafiti wa miaka mitano kuhusu rasilimali ya gesi na faida zake kwa uchumi wa Tanzania. Utafiti huo unashirikisha wataalam kutoka Norway...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Utafiti wa Swala kusaidia upatikanaji wa mafuta, gesi
KAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala imetoa ushahidi mafanikio ya utafiti uliofanyika katika bonde la Kilombero wilayani Kilosa ambapo matokeo hayo yatatasaidia kurahisisha kazi ya uchimbaji visima mwaka 2015....