TPDC YAANZA UTAFITI TANGA
Mkurungezi wa Utafiti Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, Dkt. Emma Msaky, akizungumza na wataalam wanao endelea na uchimbaji wa visima vifupi katika Mradi Ujulikanao kama MP 10 GOMBERO DRILLING PROJECT kwa ajili wa utafiti wa mafuta na gesi kijiji cha Jihirini, wilayni Mkinga mkoani Tanga.
Mkurungezi wa Utafiti Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, Dkt. Emma Msaky, akionyesha sampuli za utafiti mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) katika Mradi wa utafiti wa mafuta na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Nov
TPDC yaanza utafiti mpya wa mafuta na gesi Eyasi
SHIRIKA la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC) leo linatarajiwa kuanza utafiti wa awali wa mafuta na gesi kwa kutumia ndege katika eneo la kitalu cha Eyasi, Wembere na Mandawa . Utafiti huu wa awali, unatajwa kwamba utafanyika pia katika mikoa ya Arusha, Singida, Simiyu, Tabora na Lindi.
11 years ago
Michuzi
MAGEREZA MKOA WA TANGA YAANZA MAANDALIZI YA UKARABATI WA OFISI MPYA ZA UTAWALA, JIJINI TANGA


9 years ago
Habarileo16 Nov
TPDC kuanza utafiti mafuta, gesi wiki hii
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), wiki hii litaanza utafiti wa awali wa mafuta na gesi nchini kwa kutumia ndege katika eneo la kitalu cha Ziwa Tanganyika Kaskazini.
9 years ago
Michuzi
TPDC kuendesha utafiti wa mafuta na gesi kwa ndege


10 years ago
Michuzi
TPDC YAANZA KUZALISHA GESI YA KWANZA HUKO MNAZI BAY, MTWARA

Zoezi hili ni muendelezo wa ukamilishaji wa mradi mkubwa wa Serikali wa kuzalisha gesi asilia kwa madhumuni ya kuzalisha umeme hapa nchini.
Akiongea wakati wa zoezi hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Repoa yaanza utafiti wa gesi
TAASISI ya Utafiti na Kupunguza Umaskini nchini (Repoa) imeanza utafiti wa miaka mitano kuhusu rasilimali ya gesi na faida zake kwa uchumi wa Tanzania. Utafiti huo unashirikisha wataalam kutoka Norway...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
TFF yaanza kuendeleza uwanja wake Tanga
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, amesema wameanza rasmi mchakato wa kuendeleza uwanja wake uliopo eneo la Mnyanjani jijini Tanga, ambapo upimaji udongo sahihi unafanyika. Kwa mujibu...