TPSF yasisitiza matumizi ya Tehama
TANZANIA imeshauriwa kujikita zaidi katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kuimarisha utendaji wa biashara hasa mipakani. Imesemekana pamoja na kuwepo kwa mifumo mingi inayoweza kusaidia kuongeza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Serikali yasisitiza matumizi ya takwimu sahihi
Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Ofisi Bw. Michael Madembwe akizungumza na wazalishaji na watumiaji wa takwimu leo jijini Dar es salaam. Warsha hiyo imewakutanisha wadau hao kutoka maeneo mbalimbali nchini, kubadilishana uzoefu na kuangalia changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika usambazaji na ukusanyaji wa takwimu nchini.
Na Aron Msigwa
SERIKALI imetoa wito kwa watafiti na wataalam kutoka vyuo vikuu, taasisi za elimu na mashirika binafsi kushiriki kikamilifu kuhamasisha jamii...
10 years ago
MichuziSERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
5 years ago
MichuziSerikali yasisitiza matumizi sahihi ya Kiswahili
Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma.
Katika hali ya kawaida herufi huunda neno na maneno huunda sentensi nayo sentensi huunda kikundi cha maneno. Kwa kawaida neno ni tamko mojawapo miongoni mwa mengi ambalo mtu hulitamka katika mchakato wa mazungumzo unaopelekea iwepo misemo ambayo ni fungu la maneno yenye maana mahususi ili kutoa fundisho kwa jamii.
Kwa mantiki hiyo, semi ni maneno yanayozungumzwa na watu yanayoleta maana mahususi katika lugha inayozungumzwa katika eneo fulani. Kiswahili ikiwa...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
CCM yaonyesha njia matumizi ya Tehama
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.
5 years ago
YkileoUKUAJI WA MATUMIZI YA TEHAMA WAONGEZA UHALIFU MTANDAO
---------------------UPDATE:Apple has addressed a glitch that caused some iPhones to unexpectedly start auto-correcting the letter "i" to a capital "A" and a question mark.--------------------
Kuwepo na Kinacho...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Viongozi wa dini waomba matumizi mazuri ya tehama
WATANZANIA wametakiwa kutumia vizuri teknolojia ya mawasiliano kwani inapotumika vibaya inakuwa chanzo cha matatizo.
5 years ago
MichuziMAHAKAMA YABORESHA MATUMIZI YA TEHAMA KUDHIBITI CORONA
TEHAMA
Mahakama ya Tanzania imesikiliza jumla ya mashauri 1,519 kupitia Mahakama Mtandao (Video Conferencing) kati ya Machi 23 hadi Aprili 21mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Tanzania alilolitoa Machi 23 mwaka huu.
Ambapo akiitaka Mahakama kutumia Tekknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na virusi vya Corona.
Mkurugenzi Msaidizi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Mahakama...