Viongozi wa dini waomba matumizi mazuri ya tehama
WATANZANIA wametakiwa kutumia vizuri teknolojia ya mawasiliano kwani inapotumika vibaya inakuwa chanzo cha matatizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Virusi vya corona: Viongozi wa dini waomba kufunguliwa kwa sehemu za kuabudu Uganda huku wagonjwa wakifikia 417
10 years ago
Habarileo22 Mar
Wanawake washauriwa matumizi mazuri ya ardhi
SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow limewataka wanawake kujali umuhimu wa utumiaji ardhi, ili kuongeza uzalishaji kwa faida yao binafsi na jamii kwa ujumla.
10 years ago
Michuzi
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
11 years ago
Tanzania Daima01 Sep
TPSF yasisitiza matumizi ya Tehama
TANZANIA imeshauriwa kujikita zaidi katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kuimarisha utendaji wa biashara hasa mipakani. Imesemekana pamoja na kuwepo kwa mifumo mingi inayoweza kusaidia kuongeza...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
.jpg)
.jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.
10 years ago
Mwananchi13 Jul
CCM yaonyesha njia matumizi ya Tehama