CCM yaonyesha njia matumizi ya Tehama
>Mchakato wa uteuzi wa mgombea urais wa CCM umeonyesha dhahiri maendeleo ya matumizi ya teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), baada ya chama hicho kutumia mitandao ya kijamii kutoa habari muhimu za maendeleo ya mikutano yake iliyomalizika mjini Dodoma jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
DCB Yaonyesha Njia Kwa Wasanii wa Filamu
DCB Commercial Bank imefungunga njia kwa wasanii wa filamu baada ya kuwashirikisha katika kampeni za kutoa elimu kwa wateja wa kibenki kupitia njia ya filamu, Benki hiyo ambayo toka kuanza kwake imekuwa na mafanikio makubwa imetengeneza filamu maalum inayojulikana kwa jina la DESIRE TO SUCCEED (HAMU YA MAFANIKIO).
Benki hiyo inayofanya vema katika taasisi za Kibenki baada ya kufanya utafiti ni njia ipo rahisi kuifikia jamii waligundua kuwa filamu inapendwa na watu wengi, ndipo wakaona...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
TPSF yasisitiza matumizi ya Tehama
TANZANIA imeshauriwa kujikita zaidi katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kuimarisha utendaji wa biashara hasa mipakani. Imesemekana pamoja na kuwepo kwa mifumo mingi inayoweza kusaidia kuongeza...
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.
10 years ago
Habarileo05 Feb
Viongozi wa dini waomba matumizi mazuri ya tehama
WATANZANIA wametakiwa kutumia vizuri teknolojia ya mawasiliano kwani inapotumika vibaya inakuwa chanzo cha matatizo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCGx0cn1OnY/XqB1nL3WeYI/AAAAAAALn3U/F607eqgK6s0Vjh-E8kWdR5JDZHy0mkiZgCLcBGAsYHQ/s72-c/Mahakamapic.jpg)
MAHAKAMA YABORESHA MATUMIZI YA TEHAMA KUDHIBITI CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GCGx0cn1OnY/XqB1nL3WeYI/AAAAAAALn3U/F607eqgK6s0Vjh-E8kWdR5JDZHy0mkiZgCLcBGAsYHQ/s400/Mahakamapic.jpg)
TEHAMA
Mahakama ya Tanzania imesikiliza jumla ya mashauri 1,519 kupitia Mahakama Mtandao (Video Conferencing) kati ya Machi 23 hadi Aprili 21mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Tanzania alilolitoa Machi 23 mwaka huu.
Ambapo akiitaka Mahakama kutumia Tekknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na virusi vya Corona.
Mkurugenzi Msaidizi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Mahakama...
5 years ago
YkileoUKUAJI WA MATUMIZI YA TEHAMA WAONGEZA UHALIFU MTANDAO
---------------------UPDATE:Apple has addressed a glitch that caused some iPhones to unexpectedly start auto-correcting the letter "i" to a capital "A" and a question mark.--------------------
Kuwepo na Kinacho...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n3DLAC2lBwc/VdQiQNOlBmI/AAAAAAAHyGI/waRzZ4uwBbA/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
MATUMIZI YA TEHAMA SERIKALINI YAONGEZA UFANISI KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO
Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika ukusanyaji wa mapato ya Serikali yamepunguza upotevu wa mapato uliokuwa ukisababishwa na watendaji wasio waaminifu.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Arusha na Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw. Adorf Mapunda wakati akifunga awamu ya kwanza ya mkutano wa mwaka wa Serikali Mtandao uliowahusisha maafisa TEHAMA,Rasilimali watu,Utawala na Maafisa Habari kutoka maeneo mbalimbali nchini.
Amesema mabadiliko...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-B6GBgWBkzgg/VnIwm_zlO2I/AAAAAAAIM7U/3rJqLkWxRPw/s72-c/657229%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B16_12_2015%2B-%2B11.31.04%2B%25282%2529.jpg)
WANAWAKE NA WATOTO WA KIKE BADO WAPO NYUMA KATIKA MATUMIZI YA TEHAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-B6GBgWBkzgg/VnIwm_zlO2I/AAAAAAAIM7U/3rJqLkWxRPw/s640/657229%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B16_12_2015%2B-%2B11.31.04%2B%25282%2529.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New YorkWanawake na watoto wa kike wanaelezwa kama kundi ambalo bado halijanufaika ipasavyo na matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (...