Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRICH; HUSHAMBULIA SEHEMU NYETI-3

Leo nitaelezea madhara ya ugonjwa wa Trich na namna unavyobainika kwa vipimo mbalimbali na tiba, ungana nami.Vipimo vya ugonjwa huu ni vingi kama vile kipimo cha damu kuchunguza Prostate Specific Antigen (PSA): PSA ni aina ya protini inayozalishwa na seli za tezi dume. Kipimo cha Pap smear ambacho hupima chembechembe au seli za shingo ya kizazi ambazo huchukuliwa na kuchunguzwa kwa kutumia darubini. Kipimo hiki pia hutumiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

TRICH; HUSHAMBULIA SEHEMU NYETI-2

Leo naendelea kuelezea dalili za ugonjwa wa Trich unaoshambulia maeneo nyeti, ungana nami. Dalili nyingine ni kuwasha sehemu za siri, kupata maumivu chini ya kitovu.Wanawake wengine wanaweza kuwa na vimelea hivi na wakaishi navyo kwa mwaka mzima bila kugundua kama hawatakwenda kupimwa. DALILI KWA WANAUME Kwa upande wa wanaume, vimelea hivi vya ugonjwa huu hupatikana katika sehemu za siri nje ya mrija wa kupitisha mkojo yaani...

 

10 years ago

GPL

MICHEPUKO: MWANAUME ANG'ATWA SEHEMU NYETI AKILAZIMISHA KUFANYA MAPENZI NA RAFIKI WA MKEWE

Maria Ionita akiwa na mumewe, Florin Ionita hospitalini. MWANAUME aitwaye Florin Ionita, 53, ameng'atwa sehemu yake nyeti na rafiki wa mkewe wakati akijaribu kumlazimisha afanye naye mapenzi. Wauguzi waliokuwa wakimpatia huduma Florin Ionita. Florin Ionita na mkewe Maria Ionita, 49, walikuwa katika karamu huko Chisinau nchini Moldova wakiwa na rafiki wa mkewe. Baada ya karamu hiyo, Maria aliamua kuwapeleka baadhi ya marafiki...

 

10 years ago

GPL

RAIS ZUMA KUPITISHA SHERIA YA WATU WENYE VVU KUWEKEWA ALAMA SEHEMU NYETI, ITASAIDIA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA UKIMWI?

BAADA vurugu za wenyeji kuwashambulia wageni, Afrika Kusini imetengeneza tena 'headilines' baada ya Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma kusaini muswada ambao utawalazimu watu wote watakaogundulika kuwa na Virusi vya HIV kuwekewa alama jirani na sehemu zao nyeti. Kuanzia sasa mtu atakayepimwa na kugundulika kuwa na VVU nchini Afrika Kusini hatapewa ushauri nasaha peke yake, bali pia atachorwa tattoo kuonyesha kuwa ameathirika. "Alama...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli akutana na taasisi nyeti

RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wanne wa taasisi nyeti tofauti kuhusu mambo mbalimbali ya mustakabali wa Serikali yake ya awamu ya tano.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzee akatwa ‘nyeti’ Ileje

Mkazi wa Kijiji Mapogolo wilayani Ileje, London Haonga (61), amelazwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya baada ya watu wanaodaiwa kuwa watatu kumkata sehemu za siri usiku wa kuamkia juzi.

 

11 years ago

GPL

MUME AFYEKA NYETI ZA MKEWE

UNYAMA wa kutisha! Gasto Edward (32) amemkata mkewe Mwelu Raymond sehemu zake za siri, Risasi Jumamosi lina simulizi hii ya kusikitisha. Tukio hilo lilitanguliwa na kumpiga mkewe huyo na kipande cha nondo kichwani hali iliyosababisha apoteze fahamu papo hapo na kutekeleza azma yake. Bwana Gasto Edward na mkewe ambaye anadaiwa kumkata nyeti zake. Imeelezwa kuwa, tukio hilo lenye sura ya majonzi, lililovuta hisia za watu wengi...

 

11 years ago

GPL

SANGOMA AMFYEKA MTOTO NYETI

Stori: Haruni Sanchawa
NI jambo lililowaacha midomo wazi madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam ambapo mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi (pichani akiwa na muuguzi) kufikishwa hospitalini hapo akiwa amekatwa nyeti na mtu aliyedaiwa ni mganga wa kienyeji ‘sangoma’ na kuipeleka kusikojulikana. Mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi akiwa...

 

11 years ago

GPL

BABU ALIVYOKATWA NYETI,KISA MAPENZI

Maskini! Mzee aliyefahamika kwa majina ya London Haonga (61) mkazi wa Kijiji cha Mapogolo, Kata ya Mbebe wilayani Ileje mkoani hapa hana tena nyeti zake kufuatia tukio la kukatwa sehemu hizo lililokuwa kama sinema, Amani lina ripoti kamili. Kwa mujibu wa shuhuda wetu kijijini hapo, tukio hilo la kusikitisha lilitokea mishale ya saa mbili usiku wa Aprili 19, mwaka huu mzee huyo alifanyiwa unyama huo na watu watatu wasiofahamika...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyaraka nyeti za Serikali ya Zanzibar zaibwa

Nyaraka nyeti za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zilizokuwa zimehifadhiwa katika Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu za Taifa, zimeibwa na mmoja wa watuhumiwa ni ofisa mwandamizi wa Ubalozi mdogo wa Omani uliopo Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani