Trim house costs to assist the poor, Lukuvi tells NHC
The National Housing Corporation (NHC) has been directed to come up with a strategy for lowering the costs of its houses, to enable many Tanzanians to afford them.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen03 Jan
Govt should cut costs of house construction
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Ni kweli Lukuvi, NHC ifikirie walalahoi
10 years ago
Daily News13 Mar
Get ready to pay compensation for land, Lukuvi tells investors
Daily News
INVESTORS eyeing to acquire land for various investments in Mwanza Region should get prepared to pay compensation for the land on market value and not otherwise. Minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, Mr William Lukuvi ...
10 years ago
Habarileo01 Apr
Lukuvi aagiza utafiti mauzo ya nyumba za NHC
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ameliagiza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), lifanye tathmini ya uuzaji wa nyumba zake kubaini sababu za watu wa kipato cha chini ‘kutozichangamkia’.
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Waziri Lukuvi afungua nyumba za NHC Mrara Babati
Sehemu ya nyumba 40 za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Mrara Babati mkoani Manyara ambazo zilifumguliwa rasmi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi amehitimisha ziara yake ya kutatua migogoro ya Ardhi katika mikoa ya Mwanza, Arusha na Manyara na ameweza pia kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba za gharama nafuu Buswelu Mwanza na kufungua nyumba za aina hiyo...
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Lukuvi aagiza halmashauri kutenga ardhi kwa NHC
11 years ago
TheCitizen31 May
Seif lived in poor house, says minister
10 years ago
AllAfrica.Com08 Jun
Lawmakers' Attendance in Zanzibar House Still Poor
AllAfrica.com
Zanzibar — POOR attendance of the House sessions on Wednesday evening moved to the lowest after legislators failed to approve the 2015/2016 budget for the Ministry of Health due to lack of quorum. The Deputy Speaker of the House, Mr Ali Abdalla Ali, ...
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Waziri Lukuvi azindua nyumba za bei nafuu za NHC Longido
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akipewa na Mkurugenzi Mkuu wa NHC maelezo ya uendelezaji wa eneo la Usa-river lililonunuliwa na NHC kwa ajili ya kujenga Jiji la kisasa hapo jana.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Williama Vangimembe Lukuvi jana alifungua nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido na kuwataka wananchi kununua nyumba hizo ili NHC iweze kujenga zingine kusaidia Wilaya hiyo kupata makazi...