Ni kweli Lukuvi, NHC ifikirie walalahoi
Katika toleo letu la jana, ukurasa wa 12 tuliandika habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “Lukuvi: Tunataka nyumba nafuu za ukweliâ€, ambayo inamnukuu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akilitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuandaa mpango wa haraka wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Apr
Lukuvi aagiza utafiti mauzo ya nyumba za NHC
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ameliagiza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), lifanye tathmini ya uuzaji wa nyumba zake kubaini sababu za watu wa kipato cha chini ‘kutozichangamkia’.
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Lukuvi aagiza halmashauri kutenga ardhi kwa NHC
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Waziri Lukuvi afungua nyumba za NHC Mrara Babati
Sehemu ya nyumba 40 za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Mrara Babati mkoani Manyara ambazo zilifumguliwa rasmi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi amehitimisha ziara yake ya kutatua migogoro ya Ardhi katika mikoa ya Mwanza, Arusha na Manyara na ameweza pia kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba za gharama nafuu Buswelu Mwanza na kufungua nyumba za aina hiyo...
9 years ago
TheCitizen05 Jan
Trim house costs to assist the poor, Lukuvi tells NHC
10 years ago
Habarileo18 Mar
Lukuvi: NHC ipatiwe viwanja vya kujenga nyumba nafuu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amezitaka halmashauri kote nchini kutenga maeneo ya viwanja ili Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) liweze kujenga nyumba bora na za gharama nafuu zitakazouzwa kwa wananchi.
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Waziri Lukuvi azindua nyumba za bei nafuu za NHC Longido
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akipewa na Mkurugenzi Mkuu wa NHC maelezo ya uendelezaji wa eneo la Usa-river lililonunuliwa na NHC kwa ajili ya kujenga Jiji la kisasa hapo jana.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Williama Vangimembe Lukuvi jana alifungua nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido na kuwataka wananchi kununua nyumba hizo ili NHC iweze kujenga zingine kusaidia Wilaya hiyo kupata makazi...
10 years ago
Michuzi01 Apr
Waziri Lukuvi ahitimisha ziara ya siku mbili kushuhudia utendaji wa NHC
10 years ago
GPLWAZIRI LUKUVI AHITIMISHA ZIARA YA SIKU MBILI ASHUHUDIA UTENDAJI WA NHC
10 years ago
GPLLUKUVI AZINDUA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU ZINAZOJENGWA NA NHC WILAYANI MASASI