TRL watangaza mgomo rasmi kwa Serikali
Wafanyakazi wa Shirika la Reli (TRL) wametangaza rasmi mgomo usio na mwisho wakiishinikiza Serikali iwalipe nyongeza za mishahara yao pamoja na malimbikizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Katibu mkuu aanza kazi kwa mgomo TRL
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Serikali yaipa Taboa wiki mbili, mgomo wasitishwa rasmi
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wamiliki mabasi watangaza mgomo
CHAMA cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), kimetangaza kusitisha huduma za usafiri nchi nzima keshokutwa endapo madai yao ya msingi hayatashughulikiwa na Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Mgomo baridi wadaiwa kuendelea TRL
10 years ago
VijimamboBODA BODA MBEYA WATANGAZA MGOMO WA KUTOBADILISHA NAMBA ZA PIKIPIKI
Mabango yakafuata na kuanza kusema kama yanavyosomeka hapo chini.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...
9 years ago
StarTV27 Nov
Wafanyakazi wa TRL waiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya malimbikizo
Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa malipo ya malimbikizo ya mshahara wao wa miezi mitano wanaoudai uongozi wa kampuni hiyo.
Wafanyakazi wa kampuni hiyo wametishia kwenda Ikulu kumuona Rais John Magufuli iwapo hawatolipwa malimbikizo ya jumla ya Shilingi Bilioni 2.4 ya kuanzia Julai hadi Novemba 2014.
Wafanyakazi hao wa Kampuni ya Reli nchini waliimba wimbo wa mshikamano baada ya uongozi wa kampuni kuondoka katika mkutano baina yao...
11 years ago
Habarileo07 Mar
Serikali yazima mgomo wa wapagazi
SERIKALI imetangaza kusitisha mgomo wa wapagazi wa mlima Kilimanjaro, uliokuwa unatarajiwa kuanza kwa kushirikisha zaidi ya wapagazi 15,000 wa Mlima Kilimanjaro na Meru.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z03GLBZw2t0/U0eEAw5qsZI/AAAAAAAADsc/t3mf2oGmyc4/s72-c/logo.jpg)
Tamko Rasmi la watanzania wa Washington DC, Maryland na Virginia kwa Bunge la Katiba na Serikali
![](http://3.bp.blogspot.com/-z03GLBZw2t0/U0eEAw5qsZI/AAAAAAAADsc/t3mf2oGmyc4/s1600/logo.jpg)
Sisi watanzania wa Washington DC, Maryland na Virginia pamoja na vizazi vyetu tunapenda kutoa pongezi kwa Serikali yetu ya Tanzania kwa Mchakato mzima wa Katiba mpya unaoendelea.
Tunapenda Kutoa Tamko Rasmi kwa Bunge la Katiba na Serikali kutoa haki ya Uraia kwa Watanzania Wote popote walipo Duniani. Uraia Wa Mtanzania aliezaliwa Tanzania na Kizazi chake usijali hali na mahala alipo Mtanzania Huyo.
Kutokubaguliwa kwetu kwenye swala hili la Haki ya Kuzaliwa na Kuruhusiwa kwa Uraia Pacha...