Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgomo baridi wadaiwa kuendelea TRL

Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wapo katika mgomo baridi baada ya menejimenti ya kampuni hiyo kushindwa kuwalipa malimbikizo ya madai yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus:Wauguzi wa wagonjwa waliombukizwa virusi vya corona Kenya waanza mgomo baridi

Wauguzi wanaofanya kazi katika wodi iliyotengwa kwa watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya wameanza mgomo baridi kulalamikia kile wanachodai kuwa ukuosefu wa vifaa vya kujikinga na mafunzo ya kutosha.

 

10 years ago

Mwananchi

TRL watangaza mgomo rasmi kwa Serikali

Wafanyakazi wa Shirika la Reli (TRL) wametangaza rasmi mgomo usio na mwisho wakiishinikiza Serikali iwalipe nyongeza za mishahara yao pamoja na malimbikizo.

 

9 years ago

Mwananchi

Katibu mkuu aanza kazi kwa mgomo TRL

Katibu Mkuu wa Uchukuzi, Dk Leonard Chamuliho ameingia ofisini kwa mara ya kwanza jana na kukabiliana na mgomo wa wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wanaoshinikiza kulipwa stahiki zao.

 

11 years ago

Michuzi

Mgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO

  Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita kituo cha Mwenge jijini Dar es salaam bila kusimama, ikiwa ni siku ya kwanza wasafirishaji hao kuamriwa kutumia kituo cha Makumbusho ambacho inaelekea hawaafiki.  Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote  Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu  Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja  Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge  Eneo ambalo...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV

KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19

Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Madaktari: Baridi itawajenga Simba

Simba ipo Lushoto Tanga ilikopiga kambi wakati Azam ikitarajia kuweka kambi jijini humo kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Bara na Kombe la Kagame.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jifahamishe Olimpiki majira ya baridi

Zaidi ya wanajeshi alfu 40 wametumwa kushika doria wakati wa michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi mjini Sochi Urusi.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIMU WA BARIDI WAANZA KIWANJA

 Wadau mbalimbali waliofika nje ya  City Place Mall Silver Spring, Maryland pembezoni mwa barabara ya Fenton wakifanya utelezi kwenye barafu ( Ice Skating ) kwenye msimu huu wa baridi ambao watabiri wa hali ya hewa wamesema mwaka huu baridi itakua kali sana humo ndni utawakuta wadau mbalimbali wengine wakijufunza utelezi huo kwenye barafu huku wakipata usaidizi wa wenzao. Watoto nao wakijifunza utelezi kwenye barafu huku akijishikiza kwenye kingo za uwanja huo. Wadau mbalimba waliofika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Baridi kali yatokota Marekani

Msimu wenye maridi kali kuwahi kushuhudiwa nchini Marekani katika miaka 20 iliyopita, unaelekea kupiga maeneo ya Kusini na Mashariki mwa nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani