Trump asema atafurusha Wasyria akiwa rais
Donald Trump amesema atafurusha wakimbizi kutoka Syria walio nchini Marekani iwapo atachaguliwa kuwa rais Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Mary Trump: Kumbukumbu ya mpwa wa rais Donald Trump inayomdhalilisha rais huyo
Mary Trump anatarajiwa kutoa kitabu kinachomuelezea mjomba wake Donald Trump kama mwanaume hatari sana duniani.
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw
MOJA ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua, kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Trump yuko buheri wa afya, daktari asema
Daktari wa mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amesema mfanyabiashara huyo mashuhuri yuko buheri wa afya na hana matatizo yoyote makubwa ya kiafya.
5 years ago
CCM Blog20 May
TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA
![Trump at a cabinet meeting](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/10209/production/_112375066_gettyimages-1225867223.jpg)
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Trump 'hakufuata' katiba, asema mkuu wa zamani wa jeshi Colin Powell
Mkuu wa zamani wa jeshi amemkosoa rais Trump kwa kutishia kutumia majeshi kuvunja maandamano dhidi ya ubaguzi wa rangi.
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya Corona: Trump asema Marekani kuwa na wagonjwa wengi ni heshima
Mpaka sasa Marekani imethibitisha watu milioni 1.5 walioathiriwa na virusi vya corona na karibu vifo 92,000.
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Obama asema hatua zilizochukuliwa na Trump ni kama 'janga la machafuko'
Rais wa zamani wa Marekani Barack Obam amemkosoa vikali Rais Donald Trump kwa namna anavyoshughulikia janga la corona.
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya Corona: Obama asema uongozi wa Trump umefeli kukabiliana na ugonjwa huo
Aliyekuwa rais wa Marekani Barrack Obama kwa mara nyingine tena amemkosoa mrithi wake Donald Trump anavyoshughulikia janga la virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virus vya corona: Trump asema 'wamefikia kilele cha maambukizi’ mapya Marekani
"Tutarejelea hali ya kawaida wanangu, tena sisi sote,"rais Trump akitabiri kuwa inawezekana majimbo mengine yakafunguliwa mwezi huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania