Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trump asema atafurusha Wasyria akiwa rais

Donald Trump amesema atafurusha wakimbizi kutoka Syria walio nchini Marekani iwapo atachaguliwa kuwa rais Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mary Trump: Kumbukumbu ya mpwa wa rais Donald Trump inayomdhalilisha rais huyo

Mary Trump anatarajiwa kutoa kitabu kinachomuelezea mjomba wake Donald Trump kama mwanaume hatari sana duniani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw

MOJA  ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua,  kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Trump yuko buheri wa afya, daktari asema

Daktari wa mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amesema mfanyabiashara huyo mashuhuri yuko buheri wa afya na hana matatizo yoyote makubwa ya kiafya.

 

5 years ago

CCM Blog

TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA

Trump at a cabinet meetingHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESRais Donald Trump amesema ni '' ni heshima '' kuwa Marekani ina idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya corona duniani.''Ninalitazama suala hili kama heshima fulani, kama jambo zuri kwasababu inamaanisha kuwa vipimo vyetu viko vizuri,'' alieleza akiwa Ikulu ya Marekani.Marekani ina watu milioni 1.5 walioathiriwa na virusi vya corona na karibu vifo 92,000, kwa mujibu wa takwimu zinazokusanywa na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins. Nchi inayoshika nafasi ya pili ni...

 

5 years ago

BBCSwahili

Trump 'hakufuata' katiba, asema mkuu wa zamani wa jeshi Colin Powell

Mkuu wa zamani wa jeshi amemkosoa rais Trump kwa kutishia kutumia majeshi kuvunja maandamano dhidi ya ubaguzi wa rangi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Trump asema Marekani kuwa na wagonjwa wengi ni heshima

Mpaka sasa Marekani imethibitisha watu milioni 1.5 walioathiriwa na virusi vya corona na karibu vifo 92,000.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Obama asema hatua zilizochukuliwa na Trump ni kama 'janga la machafuko'

Rais wa zamani wa Marekani Barack Obam amemkosoa vikali Rais Donald Trump kwa namna anavyoshughulikia janga la corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Obama asema uongozi wa Trump umefeli kukabiliana na ugonjwa huo

Aliyekuwa rais wa Marekani Barrack Obama kwa mara nyingine tena amemkosoa mrithi wake Donald Trump anavyoshughulikia janga la virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virus vya corona: Trump asema 'wamefikia kilele cha maambukizi’ mapya Marekani

"Tutarejelea hali ya kawaida wanangu, tena sisi sote,"rais Trump akitabiri kuwa inawezekana majimbo mengine yakafunguliwa mwezi huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani