Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trump kutumia $2m kila wiki kwa kampeni

Mgombea wa urais Marekani anayetafuta tiketi ya chama cha Republican Donald Trump amesema anapanga kutumia $2m (£1.3m) kila wiki kwenye matangazo ya kampeni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani 2020: Facebook yafuta maatangazo ya kampeni ya Trump ‘kwa kuchochea chuki’

Matangazo hayo ni sehemu ya kampeni ya Trump kwa uchaguzi wa Novemba mwaka huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Kila wiki watoto 10 hulazwa MNH kwa ajali ya moto

Mtoto akiwa ameungua motoVeronica Romwald na Mwantumu Saadi, Dar es Salaam

MATUKIO ya watoto kuungua moto yamekuwa yakijitokeza na kuripotiwa mara kwa mara katika maeneo tofauti nchini.
Unaweza ukajiuliza na pengine kushangazwa kwamba inakuwaje mtoto wa mwezi mmoja anaungua ingawaje bado hajaanza hata kujongea (kusogea kutoka eneo moja kwenda jingine).
Sababu kuu inayochangia kutokea kwa hali hiyo inatajwa kuwa ni uzembe wa baadhi ya wazazi na walezi kwa kukosa umakini katika kuwalinda watoto dhidi ya hatari ya...

 

9 years ago

Michuzi

TASOI YAZINDUA KAMPENI YA SARATANI KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA MAWASILIANO BILA MALIPO YOYOTE

Katibu Mkuu wa TASOI, Belinda Mlingo akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mpango mkakati endelevu wa kuendesha kampeni ya Mshikamano dhidi ya Saratani kwa kutumia technolojia ya mawasiliano bila malipo yoyote katika ukumbi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road leo jijini Dar.Mshauri kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dk. Dominista Kombe ambaye akitoa takwimu ya wagonjwa wanaofika kutibiwa katika hospitali hiyo.Mkurugenzi wa Idara ya Kinga Taasisi ya...

 

9 years ago

StarTV

Serikali Yakataa Ombi la UKAWA Kutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Uzinduzi wa Kampeni Za Uchaguzi Mkuu

    Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) akikanusha kuhusu Chadema kutumia Uwanja wa Taifa kuzindua kampeni zake siku ya tarehe 22 Agosti, 2015 jijini Dar es Salaam. Kanusho hilo lilitolewa katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) uliopo jijini Dar es Salaam.


Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia taarifa kutoka Serikalini kuhusu Chadema kutumia Uwanja wa Taifa kuzindua kampeni zake siku ya tarehe 22 Agosti, 2015 jijini Dar es Salaam. Kanusho hilo lilitolewa katika Ukumbi wa Idara...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Kwanini baadhi ya viongozi wa kidini Washington wamekasirishwa na Trump kutumia Biblia?

Siku chache baada ya Rais Trump kuonekana amesimama mbele ya kanisa la St John Episcopal akiwa ameshikilia bibilia, zaidi ya viongozi 20 wa makanisa kutoka Washington na maeneo yaliyo karibu wamepinga kile alichokifanya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kampeni ya Trump yakanusha idadi ndogo kuhudhuria mkutano wake

Vijana wadogo wanasemekana kuwa walijiandikisha kununua tiketi wakiwa na nia ya kutohudhuria mkutano huo kwa lengo la kuhakikisha viti vinabaki tupu katika mkutano huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Donald Trump: Mkutano wa kampeni wa Tulsa haukuhudhuriwa na umati wa watu kama ilivyotarajiwa

Rais wa Marekani amehutubia watu wachache badala ya umati mkubwa wa watu kama ilivyotarajiwa katika mkutano wake wa kwanza wa kampeni ya kuwania urais tangu Machi .

 

9 years ago

Habarileo

Taarifa ya kipindupindu sasa kila wiki

SERIKALI imeanzisha utaratibu wa utoaji wa taarifa ya ugonjwa wa kipindipindu kwa wiki kwa nchi nzima, ili kuhabarisha umma wa Watanzania kuhusu mkoa na wilaya inayojitahidi kukabiliana na ugonjwa huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ubaya kila kona England wiki hii

Ukurasa mpya wa vita ya maneno kati ya kocha wa Chelsea, Jose Mourinho na bosi wa Manchester City, Manuel Pellegrini utaendelea leo wakati Arsenal wakisaka kulipa kisasi dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Kombe la FA raundi ya tano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani