Kila wiki watoto 10 hulazwa MNH kwa ajali ya moto
Veronica Romwald na Mwantumu Saadi, Dar es Salaam
MATUKIO ya watoto kuungua moto yamekuwa yakijitokeza na kuripotiwa mara kwa mara katika maeneo tofauti nchini.
Unaweza ukajiuliza na pengine kushangazwa kwamba inakuwaje mtoto wa mwezi mmoja anaungua ingawaje bado hajaanza hata kujongea (kusogea kutoka eneo moja kwenda jingine).
Sababu kuu inayochangia kutokea kwa hali hiyo inatajwa kuwa ni uzembe wa baadhi ya wazazi na walezi kwa kukosa umakini katika kuwalinda watoto dhidi ya hatari ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Jan
Ajali za moto zawakumba watoto 308
WATOTO 308 wamefikishwa katika Hospitali ya mkoa wa Mwanza, Sekou Toure wakiwa wameungua moto. Idadi hiyo ni katika kipindi cha mwaka mmoja.
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Trump kutumia $2m kila wiki kwa kampeni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NvrXwR0-KmU/XrFYvmTrqGI/AAAAAAALpNc/8riy89xu58A0JXfWxWPbOKS8bVdBmXAcwCLcBGAsYHQ/s72-c/1567a6b1-59ad-4277-a474-44117aa34c8e.jpg)
VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000
Na WAMJW – Dar es Salaam
05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...
9 years ago
Bongo501 Dec
Chris Brown kuchangia dola 1 kwa kila nakala ya album yake ‘royalty’ kwa watoto
![breezy-smile](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/breezy-smile-300x194.jpg)
Ikiwa zimebaki wiki mbili kuachia album yake mpya, Chris Brown amesema kuwa atachangia kwenye mfuko wa watoto kiasi cha dola moja kutoka kwenye mauzo ya kila nakala ya album yake, ikiwa ni sehemu ya kurudisha kwa jamii mwisho huu wa mwaka.
Kupitia mitandao ya kijamii Breezy aliandika,
“The holidays are all about giving back, so this Christmas, from now until Christmas, if you order the album, pre-order the album, one dollar of every album sold will go to Childrens Miracle Network...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJItBi93k*KuI-sYBeHz0ux4-IFR8tAZ1vq6Vz7FU3pu1VR2ON0Lp8*7ftBKaC2LsQx225wNHLqdrEsR*5SJwyO/unnamed54.jpg?width=650)
TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) YATOA RAMBIRAMBI KWA MWANAHABARI WA FAMILIA YA WATU SITA WALIOFARIKI KWA AJALI YA MOTO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Tanzania bloggers network (TBN) yatoa rambirambi kwa mwanahabari wa familia ya watu sita waliofariki kwa ajali ya moto
![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
10 years ago
GPLMAADHIMISHO YA WIKI YA ULINZI NA USALAMA KWA WATOTO
10 years ago
Habarileo17 Oct
'Watoto 130 hufa kila siku kwa lishe duni'
WAKATI Tanzania ikisherehekea Siku ya Chakula Duniani, imeelezwa kuwa watoto 130 hufa kila siku nchini kutokana na kukosa lishe bora na matunzo sahihi.
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Watoto wawili wateketea kwa moto
WATOTO wawili wa familia moja mjini Tabora, wamefariki dunia baada ya kuteketezwa kwa moto ndani ya nyumba walimokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea jana saa 1 asubuhi katika Mtaa wa Ulaya,...