Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali za moto zawakumba watoto 308

WATOTO 308 wamefikishwa katika Hospitali ya mkoa wa Mwanza, Sekou Toure wakiwa wameungua moto. Idadi hiyo ni katika kipindi cha mwaka mmoja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kila wiki watoto 10 hulazwa MNH kwa ajali ya moto

Mtoto akiwa ameungua motoVeronica Romwald na Mwantumu Saadi, Dar es Salaam

MATUKIO ya watoto kuungua moto yamekuwa yakijitokeza na kuripotiwa mara kwa mara katika maeneo tofauti nchini.
Unaweza ukajiuliza na pengine kushangazwa kwamba inakuwaje mtoto wa mwezi mmoja anaungua ingawaje bado hajaanza hata kujongea (kusogea kutoka eneo moja kwenda jingine).
Sababu kuu inayochangia kutokea kwa hali hiyo inatajwa kuwa ni uzembe wa baadhi ya wazazi na walezi kwa kukosa umakini katika kuwalinda watoto dhidi ya hatari ya...

 

9 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

AJALI YA MOTO KICHANGA CHAOKOA FAMILIA!

Na Gabriel Ng’osha/Risasi Mchanganyiko
KICHANGA kinachokadiriwa kuwa na umri wa miezi nane, wiki iliyopita kiliiokoa familia yake kuteketea kwa moto, baada ya kuamka usiku na kulilia kunyonya, kitendo kilichomshtua mama yake aliyebaini nyumba yao ilikuwa ikiungua, huko Kibamba Lungwe jijini Dar es Salaam. Sehemu ya nyumba iliyoungua. Akisimulia tukio hilo, mama wa kichanga hicho, Asha Mohamed, alisema alishtuka baada...

 

11 years ago

Habarileo

Waathirika wa ajali ya moto Pemba wasaidiwa

MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba , Dadi Faki Dadi, amezipongeza taasisi za Serikali na watu binafsi kwa kusaidia watu waliopatwa na ajali ya nyumba zao kuteketea kwa moto huko Pemba. Dadi alitoa kauli hiyo wakati akipokea bidhaa mbalimbali za vyakula na mchele, unga wa ngano pamoja na sukari vikiwa na thamani ya Sh milioni 5 kutoka kwa uongozi wa Shirika la Taifa la Biashara la Zanzibar (ZSTC).

 

10 years ago

Mwananchi

Zimamoto wajitetea ajali ya moto Dar

Siku tatu baada ya ajali ya moto kutokea  katika eneo la Kipunguni A jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo vya watu sita na nyumba kuteketeatu, Jeshi la Zimamoto limejitete kuwa lilishindwa kufika haraka kwenye tukio kwa sababu ya ubovu wa mawasiliano kati yao na wananchi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Balozi wa CCM anusurika katika ajali ya moto

DSC08840

Mwenyekiti wa CCM manispaa ya Singida, Hamisi Nguli (wa pili kulia), akimpa pole balozi na mjumbe wa kamati ya siasa ya mtaa wa Mwenge mjini Singida, Tatu Juma Mohammed (kushoto) kwa nyumba yake kuungua moto na kuteketeza baadhi ya mali.Wa kwanza kulia ni katibu wa uchumi na fedha wa CCM jimbo la Singida mjini.

DSC08842

Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa jimbo la Singida mjini, Hassani Mazala akiwa na katibu CCM manispaa ya Singida, Magdalena Ndwete, nyumbani kwa balozi na mjumbe wa kamati...

 

9 years ago

Mtanzania

Abiria 300 wa boti wanusurika ajali ya moto

NA MWANDISHI WETU,DAR ES SALAAM

ABIRIA 300 wamenusurika kufa baada ya Boti ya Royal waliyokuwa wakisafiria kutoka Kisiwa cha Unguja kwenda Pemba baada ya boti hiyo mali ya Kampuni ya Ocean Enterprises kuwaka moto  ikiwa baharini.

Tukio hilo lilitokea nyakati za mchana katika eneo la Matumbini wakati ikielekea kuwasili katika Bandari ya Mkoani, Kisiwani Pemba.

Akizungumza na MTANZANIA kwa njia ya simu jana kutoka Unguja, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri Zanzibar, Omar Maalim alisema ajali...

 

10 years ago

Habarileo

Abiria ajali ya moto wazikwa kaburi moja

Maziko ya mabaki ya miili ya abiria waliokuwa katika basi la Nganga lililoungua moto baada ya kugongana na Fuso mkoani Morogoro, yakifanyika katika kaburi la pamoja.MAELFU ya wakazi wa Tarafa ya Kidatu wilaya ya Kilombero na Mikumi, wilayani Kilosa mkoani Morogoro, walijawa na simanzi kubwa zilizotawaliwa na vilio wakati wa maziko ya miili ya watu 15 waliozikwa jana kwenye kaburi moja, ikiwa ni siku moja baada ya kufa kwa kuteketea kwa moto baada ya basi walilokuwa wakisafiria la Kampuni ya Nganga Express kulipuka lililopogongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani