Balozi wa CCM anusurika katika ajali ya moto
Mwenyekiti wa CCM manispaa ya Singida, Hamisi Nguli (wa pili kulia), akimpa pole balozi na mjumbe wa kamati ya siasa ya mtaa wa Mwenge mjini Singida, Tatu Juma Mohammed (kushoto) kwa nyumba yake kuungua moto na kuteketeza baadhi ya mali.Wa kwanza kulia ni katibu wa uchumi na fedha wa CCM jimbo la Singida mjini.
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa jimbo la Singida mjini, Hassani Mazala akiwa na katibu CCM manispaa ya Singida, Magdalena Ndwete, nyumbani kwa balozi na mjumbe wa kamati...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5ABuvxdzlkBKY4eD6OmaL4n76RWAtZ*tl37U1RORONqbGGXOQDk2uQhQffFkJ5rdFlKAeR36Rm2MsTwydYfVWGo/mwakifwamba531.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA ANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MORO
10 years ago
GPLMWENDESHA PIKIPIKI ANUSURIKA KATIKA AJALI MOROCCO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
mtu mmoja anusurika katika ajali ya gari eneo la Kibele, Zanzibar, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AONGOZA MAELFU KATIKA MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO
Baba wa watoto wawili waliokufa katika ajali ya moto, Emmanuel Mpila akiweka shada la maua katika kaburi la mmoja wa watoto wake, Pauline.
9 years ago
Dewji Blog01 Nov
Mwanajeshi wa JWTZ Zanzibar anusurika kifo katika ajali ya gari kijiji cha Kibele, Zanzibar
Gari hilo kama linavyoonekana baada ya ajali hiyo
Na Mwandishi Wetu.
[Unguja-ZANZIBAR] Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF) imeelezwa kuwa amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea mchana wa leo Novemba Mosi, eneo la kijiji cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa gari hiyo.
Kwa mujibu wa shuhuda wa taarifa ya tukio hilo: “ Ajali imetokea mchana huu kwenye saa 8.10 ambayo imemhusisha askari wa Jeshi la Ulinzi...
11 years ago
GPL11 years ago
GPL10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-un7zod9brvU/VTR6YH8QtTI/AAAAAAAA6_k/mQcqm7h87tk/s72-c/190.jpg)
BALOZI SEIF AKAGUA ATHARI ZA MOTO KATIKA HOTELI YA KITALII YA KARAFUU BEACH RESORT
![](http://3.bp.blogspot.com/-un7zod9brvU/VTR6YH8QtTI/AAAAAAAA6_k/mQcqm7h87tk/s1600/190.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UkcJrIo81_o/VTR6YImY8XI/AAAAAAAA7AI/iunpdvGHNYk/s1600/192.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-y9j168nr0nE/VTR6YO01o7I/AAAAAAAA6_o/109D7Y1lM7A/s1600/199.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nEmKJKmLF9k/VTR6ZDQvpAI/AAAAAAAA6_w/flOd9LCFNpc/s1600/215.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pUSuOC5kOUQ/VTR6ZXgu2gI/AAAAAAAA6_0/3B497iXIHdg/s1600/220.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WKoKeSMF0NE/VTR6aVMM42I/AAAAAAAA7AE/AM8DLWEd-qE/s1600/235.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y54Q7lf6ky4/U8_DNBNFGdI/AAAAAAAF5OM/RZaEN1KzSg4/s72-c/unnamed+(73).jpg)
BALOZI KAMALA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y54Q7lf6ky4/U8_DNBNFGdI/AAAAAAAF5OM/RZaEN1KzSg4/s1600/unnamed+(73).jpg)