MWENDESHA PIKIPIKI ANUSURIKA KATIKA AJALI MOROCCO
Picha za tukio zima la kuteleza kwa pikipiki hiyo na kuanguka hadi kusaidiwa na wasamaria kuiweka sawa. MWENDESHA pikipiki ambaye hakujulikana jina, amenusurika katika ajali iliyotokea maeneo ya Morocco, jijini Dar es Salaam, baada ya pikipiki aliyokuwa anaendesha kuteleza na kuacha njia na kuanguka.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuUH5UCRVrbIZ4YitqK6m*j1Fb5zq*XHoV7ZqiPpYrnGBufecCLUIeKHggqGGtDx*PtFVsYlWoq58mEWrAGtOPgI/IMG20140924WA0008.jpg)
MWENDESHA BAJAJ AJERUHIWA KATIKA AJALI TEGETA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBs5nyM3SBnDOoYWrevrMB3mOjoubYwy0-PCLzYjrt-5h3qUz1BEOoOTgovDeocv4e3N8raY3QUoCVWoudOmX4Of/1.jpg?width=650)
ANUSURIKA KUUAWA KATIKA WIZI WA PIKIPIKI MAGOMENI, DAR
10 years ago
Habarileo25 Jan
Mwendesha pikipiki auawa kwa kutatuliwa tumbo
MWENDESHA pikipiki ameuawa na watu wasiofahamika kwa tumbo lake kutatuliwa na visu hadi utumbo ukatoka nje na mwili wake kutelekezwa eneo la makaburi ya Ipuli mjini Tabora .
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Balozi wa CCM anusurika katika ajali ya moto
Mwenyekiti wa CCM manispaa ya Singida, Hamisi Nguli (wa pili kulia), akimpa pole balozi na mjumbe wa kamati ya siasa ya mtaa wa Mwenge mjini Singida, Tatu Juma Mohammed (kushoto) kwa nyumba yake kuungua moto na kuteketeza baadhi ya mali.Wa kwanza kulia ni katibu wa uchumi na fedha wa CCM jimbo la Singida mjini.
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa jimbo la Singida mjini, Hassani Mazala akiwa na katibu CCM manispaa ya Singida, Magdalena Ndwete, nyumbani kwa balozi na mjumbe wa kamati...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5ABuvxdzlkBKY4eD6OmaL4n76RWAtZ*tl37U1RORONqbGGXOQDk2uQhQffFkJ5rdFlKAeR36Rm2MsTwydYfVWGo/mwakifwamba531.jpg?width=650)
MWAKIFWAMBA ANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MORO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
mtu mmoja anusurika katika ajali ya gari eneo la Kibele, Zanzibar, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-udwwmM2Lj_o/U9QYVboCf0I/AAAAAAAAGZc/jg9YsjujYu0/s72-c/10553526_756905191039135_7730910252157411488_n.jpg)
MPIGANAJI HENRY LYIMO (KIPESE) WA MOSHI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA PIKIPIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-udwwmM2Lj_o/U9QYVboCf0I/AAAAAAAAGZc/jg9YsjujYu0/s1600/10553526_756905191039135_7730910252157411488_n.jpg)
TASNIA ya Habari na michezo mkoani Kilimanjaro imepata pigo kufuatia kifo cha ghafla cha Mtangazaji wa kituo cha radio cha Moshi FM Henry Lyimo, maarufu kama Kipese. Marehemu Kipese amefariki dunia usiku wa jana akiwa njiani akitokea Rombo katika eneo la njia Panda, Himo, baada ya pikipiki aliyokuwa akitumia kugongana na pikipiki nyingine.
Taarifa za awali zinasema Marehemu Kipese alikuwa akitokea wilayani Rombo ambako amekuwa...
9 years ago
Dewji Blog01 Nov
Mwanajeshi wa JWTZ Zanzibar anusurika kifo katika ajali ya gari kijiji cha Kibele, Zanzibar
Gari hilo kama linavyoonekana baada ya ajali hiyo
Na Mwandishi Wetu.
[Unguja-ZANZIBAR] Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF) imeelezwa kuwa amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea mchana wa leo Novemba Mosi, eneo la kijiji cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa gari hiyo.
Kwa mujibu wa shuhuda wa taarifa ya tukio hilo: “ Ajali imetokea mchana huu kwenye saa 8.10 ambayo imemhusisha askari wa Jeshi la Ulinzi...
10 years ago
GPLDEREVA PIKIPIKI ANUSURIKA KIFO MSIMBAZI CENTRE, DAR