GARI LIMEPATA AJALI YA MOTO
![](http://img.youtube.com/vi/6QekoQS4LaE/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Oct
Gari lanusurika kuchomwa moto
WANANCHI wa Kata ya Embaseni wilaya ya Meru jana walifanya fujo na kutaka kuchoma gari la Utalii ambalo limekodishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa Halmashauri ya wilaya ya Meru kwa madai ya kuwa lilibeba kura hewa na kutaka kuziingiza vituoni.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfCJ14JKY4P5AInjW-zmQ4c4dOxE1JB4TWwfiHv-xWYuSp8mnCroEWlNkdT*ZRoh67524q8uHgGz4I*im*wUtC32/arushamoto.jpg?width=650)
GARI LATEKETEA KWA MOTO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXltYGJWg0gkh4*vRPFDRi*PzTq*b07HFn4DaJ9j42D0YGZFh6yLwwJRaxW2Bpd8650pZUCL2oAX6wlXuVeEz5p/IMG20140810WA0009.jpg?width=650)
AJALI YA GARI KIJICHI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKnUW*LRG4PWHF8MB*7QrbRZeIaWEyVsfgzS2ynY6n0rdMDHln-Fe4sAppkZsQWCv2OC-OkYrtle8364oLDxPPwQ/IMG20140831WA0001.jpg)
GARI LATEKETEA KWA MOTO MOROGORO
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Gari la wagonjwa lanusurika kuchomwa moto
GARI la wagonjwa lililotolewa msaada na Shirika la Africare kwa ajili ya Kituo cha Afya Mtowisa wilayani Sumbawanga, Rukwa limenusurika kuchomwa moto na wananchi wa eneo hilo kutokana kudaiwa kuchangia...
11 years ago
Habarileo30 Mar
Moto wateketeza gari, mita 3 za Luku
GARI aina ya Freelander lenye namba za usajili T 911 BFZ liliungua na kuteketezwa na moto saa 8:00 usiku wa kuamkia jana wakati likitokea barabara ya Coca-Cola maeneo ya Mwenge wilayani Kinondoni,jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Rage apata ajali ya gari
MWENYEKITI wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, jana amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya agari eneo Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akiingia mjini humo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycF2Hp6MCCWvTlYDOH3EdjaaljigDP6FEiayE5zidNOfHoXp8Q5X5O7fr0SDNQFnB6-qbsWfTjvR-uLcwIKMNXTU/IMG20141026WA0005.jpg)
AJALI MBAYA YA GARI ARUSHA
11 years ago
CloudsFM18 Jun
AJALI: GARI LAIGONGA PIKIPIKI
Mwendesha pikipiki na abiria wake (majina hayakupatikana) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze-Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari ndogo yenye usajili namba za usajili T818 BNS leo mchana.