Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GARI LIMEPATA AJALI YA MOTO

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Gari lanusurika kuchomwa moto

WANANCHI wa Kata ya Embaseni wilaya ya Meru jana walifanya fujo na kutaka kuchoma gari la Utalii ambalo limekodishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa Halmashauri ya wilaya ya Meru kwa madai ya kuwa lilibeba kura hewa na kutaka kuziingiza vituoni.

 

11 years ago

GPL

GARI LATEKETEA KWA MOTO

Gari likiteketea kwa moto mjini Arusha Gari hilo likiwa karibu na kituo cha mafuta cha Mount Meru. Gari la zima moto lililofika kuuzima moto huo.…

 

11 years ago

GPL

AJALI YA GARI KIJICHI

Gari dogo aina ya Nissan March likiwa limegonga nguzo mara baada ya kupoteza uelekeo. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo. Ajali hii imetokea maeneo ya kijichi karibu na ukumbi wa heinken. Mmoja avunjika mkono huku ikidaiwa kuwa mwendo kasi ndio chanzo cha ajali…

 

10 years ago

GPL

GARI LATEKETEA KWA MOTO MOROGORO

Gari dogo likiteketea kwa moto leo maeneo ya Msamvu mkoani Morogoro. Gari la zimamoto likiwa limefika na kuanza kazi ya kuuizima moto huo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gari la wagonjwa lanusurika kuchomwa moto

GARI la wagonjwa lililotolewa msaada na Shirika la Africare kwa ajili ya Kituo cha Afya Mtowisa wilayani Sumbawanga, Rukwa limenusurika kuchomwa moto na wananchi wa eneo hilo kutokana kudaiwa kuchangia...

 

11 years ago

Habarileo

Moto wateketeza gari, mita 3 za Luku

GARI aina ya Freelander lenye namba za usajili T 911 BFZ liliungua na kuteketezwa na moto saa 8:00 usiku wa kuamkia jana wakati likitokea barabara ya Coca-Cola maeneo ya Mwenge wilayani Kinondoni,jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rage apata ajali ya gari

MWENYEKITI wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, jana amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya agari eneo Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akiingia mjini humo...

 

10 years ago

GPL

AJALI MBAYA YA GARI ARUSHA

Gari aina ya Toyota Noah likiwa limepinduka katika ajali hiyo. Gari aina ya Toyota Hiace iliyogonga kwenye mara baada ya ajali. Ajali imetokea leo mchana ktk maeneo ya Airpot eneo linalojulikana kama  Makutano ya barabara ya AIRPORT ARUSHA. Ni baada ya askari polisi kusimamisha kwa ghafla gari aina ya Toyota…

 

11 years ago

CloudsFM

AJALI: GARI LAIGONGA PIKIPIKI

Mwendesha pikipiki na abiria wake (majina hayakupatikana) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze-Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari ndogo yenye usajili namba za usajili T818 BNS leo mchana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani