Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI YA GARI KIJICHI

Gari dogo aina ya Nissan March likiwa limegonga nguzo mara baada ya kupoteza uelekeo. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo. Ajali hii imetokea maeneo ya kijichi karibu na ukumbi wa heinken. Mmoja avunjika mkono huku ikidaiwa kuwa mwendo kasi ndio chanzo cha ajali…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AJALI MBAYA YA GARI ARUSHA

Gari aina ya Toyota Noah likiwa limepinduka katika ajali hiyo. Gari aina ya Toyota Hiace iliyogonga kwenye mara baada ya ajali. Ajali imetokea leo mchana ktk maeneo ya Airpot eneo linalojulikana kama  Makutano ya barabara ya AIRPORT ARUSHA. Ni baada ya askari polisi kusimamisha kwa ghafla gari aina ya Toyota…

 

10 years ago

GPL

AJALI YA GARI ENEO LA TAZARA

Gari aina ya Toyota Landcruiser VX lenye namba za usajili T540 APN lililopinduka maeneo ya Tazara. Polisi akilitazama gari lililopata ajali eneo la tukio. Pichani juu na chini Wananchi wakishuhudia kwa karibu zaidi ajali mbaya iliyotokea maeneo ya Tazara.…

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

CloudsFM

AJALI: GARI LAIGONGA PIKIPIKI

Mwendesha pikipiki na abiria wake (majina hayakupatikana) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze-Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari ndogo yenye usajili namba za usajili T818 BNS leo mchana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rage apata ajali ya gari

MWENYEKITI wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, jana amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya agari eneo Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akiingia mjini humo...

 

10 years ago

GPL

AJALI YA GARI YAUA WATATU KOROGWE

AJALI hii mbaya ilitokea juzi (Jumapili) katika Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga ambapo watu watatu wanadaiwa kupoteza maisha. Dereva wa gari hili lililopata ajali amelazwa katika Hospitali ya KCMC, Moshi akiendelea na matibabu. (PICHA ZOTE NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715779, KAMA UNA PICHA AU HABARI TUTUMIE KUPITIA NAMBA…

 

9 years ago

Bongo5

P-Square wanusurika na ajali ya gari (Picha)

Mapacha wa kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye jana walinusurika na ajali ya gari baada ya kugongwa na lori. Wawili hao walikuwa kwenye gari aina ya Range Rover. Kupitia Instagram, Peter alipost picha ya gari ya iliyoyobondeka na kuandika: Fans pls help us thank God. Myself @rudeboypsquare @papiijameh and our assistant manager @wandoskie had […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bahati Bukuku apata ajali ya gari

MWIMBAJI maarufu wa muziki wa Injili nchini, Bahati Bukuku, amepata ajali ya gari akiwa njiani kuelekea Kahama katika tamasha la muziki wa Injili. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali ya gari yaua baba, mwanaye

>Watu wawili, baba na mwanawe, wamekufa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea  Ikwiriri kuacha njia na kugonga kingo ya Mto Kihoi na kupinduka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani