AJALI: GARI LAIGONGA PIKIPIKI
Mwendesha pikipiki na abiria wake (majina hayakupatikana) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze-Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari ndogo yenye usajili namba za usajili T818 BNS leo mchana.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Power Iranda: Alizuia pikipiki, alipitisha gari kifuani
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yapokea gari na pikipiki kukabiliana na ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma nchini
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akipokea ufunguo wa moja ya gari kutoka kwa mwakilishi wa shirika la GLRA nchini Burchard Rwamtoga (kushoto) ikiwa ni ishara ya kukabidhi msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 jijini Dar es salaam.
Eleuteri Mangi-MAELEZO
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imepokea msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 kutoka Shirika la GLRA kutoka nchini Ujerumani kwa ajili...
10 years ago
Habarileo26 Nov
Ajali za pikipiki zaua 5,100
JUMLA ya ajali 32,404 za pikipiki maarufu kama bodaboda zimetokea kati ya mwaka 2007 – 2014 na kusababisha vifo vya watu 5,100, Bunge limeelezwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dbtllyoZL6DkY-OR4mfdO3Dc*LKabmYWKyO*vyQqKkkRZpsufESGgjUUo--Fm9RACXjucEYF2ET1rNE0PwsRgFj/TITO.jpg?width=650)
AJALI YA PIKIPIKI, TITO ILIKUWA AFE
10 years ago
GPLMWENDESHA PIKIPIKI ANUSURIKA KATIKA AJALI MOROCCO
11 years ago
MichuziAJALI YA MAGARI MAWILI NA PIKIPIKI YAPOTEZA MAISHA YA WATU WAWILI.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvlaSGV2VWSwInsKnvSagOkIGI5UaRcTQzo00tifTYfyyaIFXl4H67ncRvHUTRm2RFtkvF4A3QQofDbFUZgNu-T/ccm.jpg?width=450)
DIWANI WA KATA YA NYIDA SHINYANGA (CCM) AMEFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-udwwmM2Lj_o/U9QYVboCf0I/AAAAAAAAGZc/jg9YsjujYu0/s72-c/10553526_756905191039135_7730910252157411488_n.jpg)
MPIGANAJI HENRY LYIMO (KIPESE) WA MOSHI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA PIKIPIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-udwwmM2Lj_o/U9QYVboCf0I/AAAAAAAAGZc/jg9YsjujYu0/s1600/10553526_756905191039135_7730910252157411488_n.jpg)
TASNIA ya Habari na michezo mkoani Kilimanjaro imepata pigo kufuatia kifo cha ghafla cha Mtangazaji wa kituo cha radio cha Moshi FM Henry Lyimo, maarufu kama Kipese. Marehemu Kipese amefariki dunia usiku wa jana akiwa njiani akitokea Rombo katika eneo la njia Panda, Himo, baada ya pikipiki aliyokuwa akitumia kugongana na pikipiki nyingine.
Taarifa za awali zinasema Marehemu Kipese alikuwa akitokea wilayani Rombo ambako amekuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXltYGJWg0gkh4*vRPFDRi*PzTq*b07HFn4DaJ9j42D0YGZFh6yLwwJRaxW2Bpd8650pZUCL2oAX6wlXuVeEz5p/IMG20140810WA0009.jpg?width=650)
AJALI YA GARI KIJICHI