Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI: GARI LAIGONGA PIKIPIKI

Mwendesha pikipiki na abiria wake (majina hayakupatikana) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze-Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari ndogo yenye usajili namba za usajili T818 BNS leo mchana.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Power Iranda: Alizuia pikipiki, alipitisha gari kifuani

Wakati tunasoma shule ya msingi miaka ya 90, tulikuwa tukifurahi sana tunapotangaziwa ujio wa Chazi Mbwana ‘Power Iranda’ aliyekuwa akicheza mieleka, kunyanya vitu vizito, kuzuia pikipiki.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yapokea gari na pikipiki kukabiliana na ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma nchini

001

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akipokea ufunguo wa moja ya gari kutoka kwa mwakilishi wa shirika la GLRA nchini Burchard Rwamtoga (kushoto) ikiwa ni ishara ya kukabidhi msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261  jijini Dar es salaam.

Eleuteri Mangi-MAELEZO

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imepokea msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 kutoka Shirika la GLRA kutoka nchini Ujerumani kwa ajili...

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za pikipiki zaua 5,100

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Perreira Ame SilimaJUMLA ya ajali 32,404 za pikipiki maarufu kama bodaboda zimetokea kati ya mwaka 2007 – 2014 na kusababisha vifo vya watu 5,100, Bunge limeelezwa.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA PIKIPIKI, TITO ILIKUWA AFE

AJALI mbaya aliyoipata msanii wa filamu, Tito Zimbwe hivi karibuni ilikuwa imfanye apoteze maisha yake kutokana na namna ilivyotokea. Akizungumza na Ijumaa, rafiki wa karibu wa msanii huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema, ajali aliyoipita Tito kupona kwake ilikuwa ni Mungu tu kwani waliomuokoa walisema ameponea kwenye tundu la sindano. “Aisee ilikuwa ni ajali mbaya sana, ilikuwa mida ya saa tano usiku, alikuwa...

 

10 years ago

GPL

MWENDESHA PIKIPIKI ANUSURIKA KATIKA AJALI MOROCCO

Picha za tukio zima la kuteleza kwa pikipiki hiyo na kuanguka hadi kusaidiwa na wasamaria kuiweka sawa. MWENDESHA pikipiki ambaye hakujulikana jina, amenusurika katika ajali iliyotokea maeneo ya Morocco, jijini Dar es Salaam, baada ya pikipiki aliyokuwa anaendesha kuteleza na kuacha njia na kuanguka.…

 

11 years ago

Michuzi

AJALI YA MAGARI MAWILI NA PIKIPIKI YAPOTEZA MAISHA YA WATU WAWILI.

Gari aina ya Range Rover lenye likiwa limeharibika vibaya baada a kugongana uso kwa uso na gari dogo  Gari dogo aina ya Toyota Corolla lilikiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana uso kwa uso na Range Rover katika makutano ya barabara ya Arusha/Moshi jirani kabisa na kipita shoto(Keep left) cha Arusha
Mifuko maalumu ya kuzuia abiria asiumie wakati wa ajali ikiwa imefumuka baada ya ajali .Pikipiki ikiwa chini ya gari aina ya Range Rover baada ya kugongwa.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

DIWANI WA KATA YA NYIDA SHINYANGA (CCM) AMEFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI

SHINYANGA, Tanzania
DIWANI wa Kata ya Nyida wilayani Shinyanga kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Shindiko Masele(40) amekufa papo hapo baada ya kupinduka na pikipiki aliyokuwa akiendesha. Akizungumza na waandishi wa habari Mjini hapa, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, Sosteness Ngassa alisema diwani huyo alipata ajali hiyo jumamosi saa 2.30 usiku wakati alipojaribu kumkwepa mwendesha baiskeli na...

 

11 years ago

Michuzi

MPIGANAJI HENRY LYIMO (KIPESE) WA MOSHI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA PIKIPIKI

Marehemu Henry Lymo maarufu kama Kipese.Na Dixson Busagaga
TASNIA ya Habari na michezo mkoani Kilimanjaro imepata pigo kufuatia kifo cha ghafla cha Mtangazaji wa kituo cha radio cha Moshi FM Henry Lyimo, maarufu kama Kipese. Marehemu Kipese amefariki dunia usiku wa jana akiwa njiani akitokea Rombo katika eneo la njia Panda, Himo,  baada ya pikipiki aliyokuwa akitumia kugongana na pikipiki nyingine. 

Taarifa za awali zinasema Marehemu Kipese alikuwa akitokea wilayani Rombo ambako amekuwa...

 

11 years ago

GPL

AJALI YA GARI KIJICHI

Gari dogo aina ya Nissan March likiwa limegonga nguzo mara baada ya kupoteza uelekeo. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo. Ajali hii imetokea maeneo ya kijichi karibu na ukumbi wa heinken. Mmoja avunjika mkono huku ikidaiwa kuwa mwendo kasi ndio chanzo cha ajali…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani