TTCL YAFURAHIA KUIBUKA NA TUZO YA USHINDI KATIKA SEKTA YA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-4o7lITGiN3c/U7aI9N7CHuI/AAAAAAACkws/fZdyGf2_8KY/s72-c/IMG_1685.jpg)
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Peter Ngota akionesha tuzo ya ushindi katika sekta ya mawasiliano. Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL wanaoshiriki Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa wakipiga picha ya pamoja na tuzo yao mara baada ya kutwaa tuzo hiyo.
Muonekano wa Banda la TTCL kwenye Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL wanaoshiriki Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa wakipiga picha ya pamoja na tuzo yao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSERIKALI YA TANZANIA YAITUNUKU HUAWEI TUZO YA UONGOZI BORA NA MCHANGO MKUBWA KATIKA SEKTA YA TEKNOLOJIA NA MAWASILIANO
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_27111.jpg?width=650)
TTCL YASHINDA NAFASI YA KWANZA SEKTA YA HABARI NA MAWASILIANO MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA (SABASABA)
9 years ago
MichuziMapokezi ya Katibu Mkuu Mpya Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Prof. Faustine Kamuzora
10 years ago
MichuziTTCL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO KATIKA KATA YA KIEGEI WILAYANI NACHINGWEA
Akiongea na wananchi Kiegei, Mkuu wa Biashara (TTCL) kanda ya Zanzibar Bw. Hussein Nguvu amesema; kwa kutambua umuhimu wa mawasiliano, TTCL pekee ndiyo ipo katika kijiji cha KIEGEI na ipo mstari wa mbele katika kuchangia kufanikisha malengo ya Serikali katika Sekta hii mtambuka kwa maendeleo ya haraka kwa Taifa letu.
Amesema Serikali ina imani kubwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AOTD59zbVW8/Xk680lr-ZMI/AAAAAAACBG0/BxSbJXTZPsAUF4niHWYQ98VzhBh-aXzTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200220-WA0019.jpg)
Sekta ya mawasiliano ya simu ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOTD59zbVW8/Xk680lr-ZMI/AAAAAAACBG0/BxSbJXTZPsAUF4niHWYQ98VzhBh-aXzTACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200220-WA0019.jpg)
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa WCO amesema mbali na faida nyingi, uwekezaji katika teknolojia ya kidijitali ni mojawapo ya njia bora ya kukusanya kodi na mapato ya serikali, hivyo kuwezesha utoaji bora wa huduma nyingine...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GaQCabyB1gc/XlaPfTtrT8I/AAAAAAALfl8/eYvF3oErS1Qu1cUTXi-pmrgyI57iVPApQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-26%2Bat%2B18.17.39.jpeg)
Kampuni za mawasiliano ya simu zinavyoleta mapinduzi katika sekta ya afya
![](https://1.bp.blogspot.com/-GaQCabyB1gc/XlaPfTtrT8I/AAAAAAALfl8/eYvF3oErS1Qu1cUTXi-pmrgyI57iVPApQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-26%2Bat%2B18.17.39.jpeg)
Wiki iliyopita Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikishirikiana na Chuo Kikuu cha Oxford imetangaza mradi mkubwa wa afya nchini Tanzania. Mradi huo utakaogharimu shilingi za Kitanzania bilioni 13.5 unalenga kutumia teknolojia ya akili bandia za mifumo ya kompyuta kwa kimombo Artificial Intelligence (AI)na ugunduzi wa chanzo na athari za magonjwa kidijitali (digital pathology). Uwekezaji wa namna hii unasaidia kuhakikisha kwamba hospitali nchini Tanzania zinaendelea kujenga uwezo wa kutoa huduma...
10 years ago
Michuzi23 Nov
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
HAIJAPATA KUTOKEA, VODACOM KINARA WA KULIPA KODI KATIKA SEKTA YA MAWASILIANO NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m-QchTGB7H4/VJOor0uaikI/AAAAAAACwok/eQWqo7VKYec/s72-c/BBLA%2BPIX%2B1.jpg)
Tuzo za Bodi Bora Katika Sekta ya Kibenki na Bima kufanyika mwezi ujao
![](http://4.bp.blogspot.com/-m-QchTGB7H4/VJOor0uaikI/AAAAAAACwok/eQWqo7VKYec/s1600/BBLA%2BPIX%2B1.jpg)