Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuangalie kwanza msingi wa soka letu

Jopo la wataalamu 20 walioteuliwa na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi lilikutana kupanga mkakati wa kuonesha jinsi Tanzania inavyoweza kushiriki Fainali za Afrika (AFCON) zitakazofanyika mwaka 2015 nchini Morocco.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Kongamano kuzungumzia soka letu

TAIFA Stars imetolewa na Algeria katika kinyang’anyiro cha kutafuta nafasi ya kucheza hatua ya ma

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Hiki ni kipindi cha kulinyanyua soka letu

Watanzania ndiyo tuna jukumu la kuendeleza mchezo wa soka nchini, hivyo tunatakiwa kutafuta mfumo thabiti utakaosaidia kufanikisha suala hilo na kuacha mtazamo wa kuangalia timu ya Taifa tu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Usajili wa Mapunda Azam na hatma ya soka letu

AZAM imemsajili Ivo Mapunda katika usajili wa dirisha dogo.

Abdul Mkeyenge

 

9 years ago

Raia Mwema

Mahaba ya TFF kwa Yanga na hatma ya soka letu

MAFANIKIO ya Soka la Tanzania yanategemea sana nidhamu, juhudi na moyo wa dhati wa kujitoa kwa wa

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Ushirikina, nidhamu mbaya uwanjani ndiyo soka letu

Kweli inashangaza sana kusikia miaka hii bado kuna baadhi ya timu zinaendekeza mambo ya ushirikina katika kutafuta matokeo bora kwenye mashindano. Inasikitisha kwa sababu, wakati wenzetu wanasonga mbele kisayansi, sisi bado tunaendelea kujiweka kwenye mazingira ya ushirikina.

 

5 years ago

Michuzi

BAADA YA LIGI KUU KUSIMAMA KWA SIKU 66, SASA TUKUTANE TENA KWA MKAPA,UHURU NA CHAMAZI...TULILIMISI SOKA LETU BHANA

Na Zainab Nyamka,Michuzi TV

ZIKIWA zimetimia Siku 66 toka kusimamishwa kwa Michezo mbalimbali ikiwemo soka sasa inatarajiwa kuanza mapema Mwezi Juni wadau wameendelea kujiuliza je Viwango vya wachezaji vitarejea kama awali.

Ikumbukwe kuwa Shughuli zote za kijamii ikiwemo mikusanyiko ilisimamishwa  na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kutokana na janga la Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.

Kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania:ligi ya kwanza soka wanawake 2015

Mashindano ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanawake (Taifa Cup Wanawake) yanazinduliwa rasmi Januari Mosi mwakani ,Kirumba Mwanza

 

9 years ago

Dewji Blog

Kitambi Noma yatwaa Ubigwa wa soka katika Tamasha la kwanza la Amani na Utalii

Mwenyekiti wa kamati ya amani mkoa wa Arusha(APET) Petro Ahham akimkabidhi kikombe cha ushindi  wa Bonanza la Amani na Utalii Mkoa wa Arusha,Nahodha wa timu ya Kitambi Noma, James Lugangira.

Wanamichezo wa Kitambi noma wakishabikia ushindi mara baada ya kukabidhiwa kombe katika kiwanja cha General Tyre jijini Arusha.

Na Woinde Shizza,Arusha

Klabu ya Kitambi noma ya jijini Arusha, hivi karibuni ilitwaa ubingwa wa soka katika tamasha la kwanza la amani na utalii ambalo lilifanyika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi

DSC_0481

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

DSC_0533

Na Mwandishi wetu

WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa  Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.

Kitunga amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani