‘Tukirudi Bungeni, katiba tayari’
Mwenyekiti wa Ukawa na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Freeman Mbowe, amesema kuna kila dalili watakaporudi bungeni hatima ya mchakato wa Katiba Mpya ya Tanzania utakuwa umeiva.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Katiba mpya tayari tumeliwa
TUMELIWA! Katiba mpya tuliyodanganywa itatokana na wananchi, mchakato wake umehodhiwa na kuvurugwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tangu awali CCM hawakuwa na wazo wala dhamira ya kuandika Katiba mpya isipokuwa...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Tupo tayari kupokea Katiba inayoburushwa?
SWALI la msingi na lenye maana kwa kipindi hiki, ni kujiuliza kama tunaamini kuwa mchakato wa Katiba unakwenda vizuri, na hakuna tatizo, Je Watanzania wameulizwa kama wapo tayari kuipokea Katiba...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Mwenyekiti Bunge la #Katiba tayari, kazi sasa kuanza rasmi? [VIDEO]
11 years ago
Habarileo17 Mar
Rasimu ya Katiba bungeni leo
TUNAWEZA kusema ni wiki muhimu kwa wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutengewa siku tatu za kujadili rasimu ya Katiba itakayowasilishwa leo na Jaji Joseph Warioba. Shughuli za wiki hii, licha ya mjadala huo, pia wajumbe hao watapigwa msasa na wataalamu wa mambo ya Katiba kutoka nje ya nchi kesho, kabla ya bunge hilo kuhutubiwa na Rais Jakaya Kikwete kesho kutwa.
11 years ago
KwanzaJamii11 Jun
BUNGE LA KATIBA: UKAWA WAGOMA KURUDI BUNGENI
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Katiba mkwamo; Ukawa wasisitiza hawatarudi bungeni
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Siioni Katiba mpya, nasubiri ngumi bungeni
NIMESOMA majina 201 yaliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuunda Bunge Maalumu ya Katiba, nimebaini uwepo wa safari ndefu kufikia kile wengi wetu tulichokuwa tukitarajia. Bunge Maalumu la Katiba ndilo litakalopitia...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-m6vmbx_0CME/VCJfjWDOKiI/AAAAAAAABsw/XGMBWSDVnaA/s72-c/Chenge.jpg)
Chenge kuwasilisha Katiba Pendekezi Bungeni leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-m6vmbx_0CME/VCJfjWDOKiI/AAAAAAAABsw/XGMBWSDVnaA/s1600/Chenge.jpg)
Chenge, ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Magharibi, anatarajiwa kuwasilisha Katiba Pendekezi kwa Mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta, baada ya kukamilisha kazi hiyo.
Mara baada ya kuwasilishwa, wajumbe wa Kamati...